Ugali wa dona sasa washamiri kwa kasi Dar es Salaam

Ugali wa dona sasa washamiri kwa kasi Dar es Salaam

Wakati wa kupika si unga unawekwa kwenye maji ya moto 100°C,,, sasa hawa fungi hawafi na hilo joto?

Mkuu nyakahanga! Amezungumzia sumu ambazo tayari zimekuwa zimeshatengenezwa kwenye maganda ya mahindi(ngozi ya juu) sidhani kama zinaondoka kwa joto la maji, labda ingekuwa wadudu wenyewe wangefishwa na hilo joto ila sumu itaendelea kuwepo japo kwenye huo ugali.
 
naunga mkono hoja ya kuandaa mwenyewe kama this is the case
Ni ngumu sana kwani hata ukiondoa fungi lakini sumu zake bado zinabaki. Kwa sisi watu wazima exposure ya mara moja au 2 kwa wiki ya hivi viwango vilivyopo kwenye mahindi haina effect.
Hata hivyo nimekuwa nikijiuza ongezeko la wanawake wenye ndevu na wanauma wenye nyonyo kama inachangiwa na exposure ya zearalenone ambayo ni mojawapo wa hizo sumu.
Kwa bahati mbaya pia siku hizi kiasi kikubwa cha mahindi yanayofika sokoni yanakuwa yalihifadhiwa na pesticides kama actellic super na zingine, so kuosha na kukoboa bado kunabaki njia sahihi na rahisi ya kujiepusha na haya masumu...
 
sasa ugali huu ni bora kabisa na unawafaa wanaume wa Dar
 
Mwingine wanachukua sembe wanaweka pumba maana harufu take duh
 
U
8ae87a7cd3d5bc282fc764af5f85a899.jpg

UGALI WA DONA UKIUOATA NA MATUNDA HAYA UNAKUA MWANAUME HALISI
 
Back
Top Bottom