Ni ngumu sana kwani hata ukiondoa fungi lakini sumu zake bado zinabaki. Kwa sisi watu wazima exposure ya mara moja au 2 kwa wiki ya hivi viwango vilivyopo kwenye mahindi haina effect.
Hata hivyo nimekuwa nikijiuza ongezeko la wanawake wenye ndevu na wanauma wenye nyonyo kama inachangiwa na exposure ya zearalenone ambayo ni mojawapo wa hizo sumu.
Kwa bahati mbaya pia siku hizi kiasi kikubwa cha mahindi yanayofika sokoni yanakuwa yalihifadhiwa na pesticides kama actellic super na zingine, so kuosha na kukoboa bado kunabaki njia sahihi na rahisi ya kujiepusha na haya masumu...