Kwa my opinion,gvt watakua very dump kumu eliminate mtu anaejulikana ana uhusiano na Bobby,binafsi matukio kama haya hua naona ni mtu anaetaka kuchafua gvt anafanya tukio lnalomuhusu mtu aliekwaruzana na gvt ili lawama ziende kwa gvt,1st suspect kwangu hapa ni beneficial wa hili tukio,lets be open,gvt ni loser hapa,then tuumize vchwa watawapata tu wahusika..r.i.p Afande
Katika kujikuta yuko against the wrong side of time, askari polisi aliyekuwa akitetea sana haki za binadamu, ameuwawa nchini Uganda.
Vidole vyote vina muelekea M7.
Dah Waafrika tuna taabu yaani faraja yetu ni kuambiwa kuwa siku ya mwisho wateule tutaenda mbinguni na je huko mbinguni pia tusipoenda si tutajua kuujua ulimwengu.