Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,442
- 7,007
Mwisho wa siku kila nafs itaonja umauti! Wako wapi majemedari wa vita walokuwa watajika na walotukuka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani watu wapumbavu kama nyie ni wa kuwasikitikia sanahuyo askari alistahili kufa kwa nini anaenda kinyume ya muajiri wake na kinyume ya kiapo chake?
Grow uphuyo askari alistahili kufa kwa nini anaenda kinyume ya muajiri wake na kinyume ya kiapo chake?
Nimependa angalizo lako lakini haya mambo serikali inajitakia yenyewe..... Hapo angepigwa risasi waziri wa museveni washukiwa wangeshakamatwa mapema ila huyu hakuna mshukiwa wala pikipiki itakayokamatwa kuhusuika na tukio na hapo ndipo watu wataamini serikali imehusika..... Kama bobi wine kahusika as you claim basi uchunguzi wa nguvu ufanyike akamatwe ila hizi double standards kwenye uchunguzi ndio zinafanya watu waamini serikali imehusika mfano hata TZ unafikiri zile risasi za lissu angepigwa makonda angekuwa hajakamatwa mtu hadi leo???Kwa my opinion,gvt watakua very dump kumu eliminate mtu anaejulikana ana uhusiano na Bobby,binafsi matukio kama haya hua naona ni mtu anaetaka kuchafua gvt anafanya tukio lnalomuhusu mtu aliekwaruzana na gvt ili lawama ziende kwa gvt,1st suspect kwangu hapa ni beneficial wa hili tukio,lets be open,gvt ni loser hapa,then tuumize vchwa watawapata tu wahusika..r.i.p Afande
So sad...huyu afande kazi yake ilikuwa poa sana
Aliongea haya ? Kama kasema hivi Museveni ndio kamuuaHuyu ndo aliyesema Bob Wine anatseswa kisiasa tuu hana kesi ya msingi nadhani system imemgeuka
Waitwe Scotland yard kuchunguzaHuyu ni m7 tu .
Kwamba hawakuwa serious? Kwa hiyo walikuwa wanamimina risasi zikawa zinatoka kwa slow motion ili zisimuumize sana na kumwuua au walikuwa wakimkanda kwa risasi?Mimi naamini kabisa wale wa Lissu hawakua serious sina nia mbaya.