Siyo msaada kiongozi. Unaandaa to the standard you need. Sasa shida inakuja Huwa wanakengeuka mbele ya safari Wakati alikuaminisha utamuoa.Hamna kitu kama hicho lbd umusaidie tuu
Kwhy hamn haja ya mkataba?
Haaa mm hamnaSiyo msaada kiongozi. Unaandaa to the standard you need. Sasa shida inakuja Huwa wanakengeuka mbele ya safari Wakati alikuaminisha utamuoa.
Wapo pia wanaofakisha lengo na maisha yanaenda.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hata Mimi siwezi Fanya Hilo, ila mapenzi ni intuition ya ajabu sana. Ukiwa obsessed unafanya yanayokataliwa na unaona uko sahihi.Haaa mm hamna
Mm akili yangu naweza kuikontloo sana haiwezi tokeaHata Mimi siwezi Fanya Hilo, ila mapenzi ni intuition ya ajabu sana. Ukiwa obsessed unafanya yanayokataliwa na unaona uko sahihi.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kenya wamefanya kweliWanawake waacheni ndg zangu
Hii nzuri, sio mwingine pesa yake inaisha bila kueleweka inakoishia.Kenya wamefanya kweli
Sheria imebadilishwa, hakuna paso tena kwenye talaka
Mwanamke kama hajawekeza kitu anaondoka na sufuria lake tu View attachment 2498473
Safi sana hiyoHii nzuri, sio mwingine pesa yake inaisha bila kueleweka inakoishia.
Halafu mkiachana eti mgawane pasu kwa pasu.
Hata kwetu hapa Sheria Iko hivyo. Ila shida Huwa inatokea sehemu mbili tofauti.Kenya wamefanya kweli
Sheria imebadilishwa, hakuna paso tena kwenye talaka
Mwanamke kama hajawekeza kitu anaondoka na sufuria lake tu View attachment 2498473
Hapo kwanza nichekee🤣🤣🤣🤣🤣Mchumba hasomeshwi
Hii ikifanyika bongo wanawake matapeli wengi watalia
Ngoja nimtarifu mwanasheria wangu.
Naungana na wewe ije huku kwetuHii ikifanyika bongo wanawake matapeli wengi watalia
Labda usomeshwe namba.
Ije kwenu kivipi? Nani awaletee?Naungana na wewe ije huku kwetu
Acha wivuLabda usomeshwe namba.