Uganda analipwa mara nne ya mshahara wa Daktari wa Tanzania

Uganda analipwa mara nne ya mshahara wa Daktari wa Tanzania

JembeNaNyundo

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2016
Posts
533
Reaction score
652
Sasa udokta Tanzania umekuwa kama uuguzi au ualimu wa shule ya msingi. Unatolewa kama UPE. By the way how can you strike for your rights if literally you were unqualified to study medicine?

Madaktari wenye akili waliishia kwa akina Ulimboka. Nenda page 21, schedule 6.

Kama mvivu kusoma daktari anayeanza kazi Uganda, anaanzia na Mshahara unaolingana na pesa za kitanzania 4,019,472/=, ambao ni mshahara wa hao machifu waliofika bar. Wenzetu Kenya registrar anaanza na zaidi ya 6 milioni, hata Prof wa MUHAS hapati.

Watu wameridhika na laki 8 zao, na kuitwa Dokta Dokta, wakati hawana kitu.
 

Attachments

Ccm oyeeeh!!!Na bado nyie kenge na walimu wawakamue tu Hadi akili ziwarudie.
20241010_082024.jpg
 
Sasa udokta Tanzania umekuwa kama uuguzi au ualimu wa shule ya msingi. Unatolewa kama UPE. By the way how can you strike for your rights if literally you were unqualified to study medicine? Madaktari wenye akili waliishia kwa akina Ulimboka. Nenda page 21, schedule 6.
Kama mvivu kusoma daktari anayeanza kazi Uganda, anaanzia na Mshahara unaolingana na pesa za kitanzania 4,019,472/=, ambao ni mshahara wa hao machifu waliofika bar. Wenzetu Kenya registrar anaanza na zaidi ya 6 milioni, hata Prof wa MUHAS hapati. Watu wameridhika na laki 8 zao, na kuitwa Dokta Dokta, wakati hawana kitu.
Siasa ikipenyezwa kila mahali kazi haziendi. Professional wajifunze kusimama wenyewe without kuruhusu wanasiasa
 
Nani akulipe izo pesa Tanzania unapenda cheap labour na unskilled labour ndio maana unaona mambo hayaendi

Manesi wenye certificate na madoctor wenye diploma ndio wengi wapo kazini na Hawa wengi shule walifeli

Ujiendeleza uko uko kazini fresh from School ni wachache Sana
 
Hiyo Avatar mbona kama ya walima kilimo cha bangi kutoka Afghanistan ? Au macho yangu hayaoni vizuri


N.b: Kidumu chama cha wavuta mjani kidumu
 
Itapendeza pia huo mshahara ukaendana na na hao wanaofundisha nikimaanisha lectures and so on .
 
Mimi naona wanatakiwa kupunguziwa maana wafanyakazi wengi wa serikali wanapenda job security ndio maana wanaona mshahara kama hisani. Kiasi wao husubiri hadi mei mosi kwa unyenyekevu ili rais awahurumie kuwaongezea mishahara.
 
Sasa udokta Tanzania umekuwa kama uuguzi au ualimu wa shule ya msingi. Unatolewa kama UPE. By the way how can you strike for your rights if literally you were unqualified to study medicine? Madaktari wenye akili waliishia kwa akina Ulimboka. Nenda page 21, schedule 6.
Kama mvivu kusoma daktari anayeanza kazi Uganda, anaanzia na Mshahara unaolingana na pesa za kitanzania 4,019,472/=, ambao ni mshahara wa hao machifu waliofika bar. Wenzetu Kenya registrar anaanza na zaidi ya 6 milioni, hata Prof wa MUHAS hapati. Watu wameridhika na laki 8 zao, na kuitwa Dokta Dokta, wakati hawana kitu.
Ni aibu kubwa na ukizingatia wanafanya kazi kwenye mazingira magumu

na kuhudumia wagonjwa wengi. Viongozi wao sijui ni machawa au nini
 
Sasa udokta Tanzania umekuwa kama uuguzi au ualimu wa shule ya msingi. Unatolewa kama UPE. By the way how can you strike for your rights if literally you were unqualified to study medicine?

Madaktari wenye akili waliishia kwa akina Ulimboka. Nenda page 21, schedule 6.

Kama mvivu kusoma daktari anayeanza kazi Uganda, anaanzia na Mshahara unaolingana na pesa za kitanzania 4,019,472/=, ambao ni mshahara wa hao machifu waliofika bar. Wenzetu Kenya registrar anaanza na zaidi ya 6 milioni, hata Prof wa MUHAS hapati.

Watu wameridhika na laki 8 zao, na kuitwa Dokta Dokta, wakati hawana kitu.
Umeconsider xchange rate? maanaa pesa za uganda ni nusu kwa kwetu.
 
Back
Top Bottom