Uganda analipwa mara nne ya mshahara wa Daktari wa Tanzania

Uganda analipwa mara nne ya mshahara wa Daktari wa Tanzania

unataka kusemaje mkuu
ni ajira pia. Yes ni wito, but at the same time ni ajira. But also inahitaji umakini sana, hivo lazima serikali ihakikishe inawalipa vizuri ili waweze kuhudumia wagonjwa akili zikiwa vizuri bila stress za kijinga za kodi sjui nauli tarudije nyumbani, mala kula, no! , kumbuka wanadeail na uhai wa binadamu

Peace of mind ni muhimu sana kwa dakitari, sababu anahandle afya za watu.
 
Mimi naona wanatakiwa kupunguziwa maana wafanyakazi wengi wa serikali wanapenda job security ndio maana wanaona mshahara kama hisani. Kiasi wao husubiri hadi mei mosi kwa unyenyekevu ili rais awahurumie kuwaongezea mishahara.
mkikaa nyuma ya keyboard mtu anaweza dhani mnapokea 20m au mnamiliki biashara za 300m huko...kumbe ni roho mbaya tu
 
Sasa udokta Tanzania umekuwa kama uuguzi au ualimu wa shule ya msingi. Unatolewa kama UPE. By the way how can you strike for your rights if literally you were unqualified to study medicine?

Madaktari wenye akili waliishia kwa akina Ulimboka. Nenda page 21, schedule 6.

Kama mvivu kusoma daktari anayeanza kazi Uganda, anaanzia na Mshahara unaolingana na pesa za kitanzania 4,019,472/=, ambao ni mshahara wa hao machifu waliofika bar. Wenzetu Kenya registrar anaanza na zaidi ya 6 milioni, hata Prof wa MUHAS hapati.

Watu wameridhika na laki 8 zao, na kuitwa Dokta Dokta, wakati hawana kitu.

Unahoja lakini rudia tena utafiti wako
Nafikiri kwa secta ya umma, Kenya ni kati ya Nchi zenye mishara ya mauza uza ukanda wa Afrika mashariki
 
Sasa udokta Tanzania umekuwa kama uuguzi au ualimu wa shule ya msingi. Unatolewa kama UPE. By the way how can you strike for your rights if literally you were unqualified to study medicine?

Madaktari wenye akili waliishia kwa akina Ulimboka. Nenda page 21, schedule 6.

Kama mvivu kusoma daktari anayeanza kazi Uganda, anaanzia na Mshahara unaolingana na pesa za kitanzania 4,019,472/=, ambao ni mshahara wa hao machifu waliofika bar. Wenzetu Kenya registrar anaanza na zaidi ya 6 milioni, hata Prof wa MUHAS hapati.

Watu wameridhika na laki 8 zao, na kuitwa Dokta Dokta, wakati hawana kitu.
Hamia Uganda,simple tuu
 
mkikaa nyuma ya keyboard mtu anaweza dhani mnapokea 20m au mnamiliki biashara za 300m huko...kumbe ni roho mbaya tu
Ndio maana mkuu hutakiwi kuumia online kwa sababu maoni sio reflection ya uhalisia mifukoni mwetu, mimi ni jobless na sina maisha kama una mchongo nipe mkuu bila kusita 🙏🏽
 
Hiyo Avatar mbona kama ya walima kilimo cha bangi kutoka Afghanistan ? Au macho yangu hayaoni vizuri


N.b: Kidumu chama cha wavuta mjani kidumu
Kwa hiyo unafikiri hawa waliojiendeleza hawawezi kukusaidia kimatibabu au.

Clinical officer aliyepractise miaka 5 na kuendelea badae akaenda kusoma medicine unafikiri uwezo wake unafanana na Fresh from school medical Doctor?
 
Mkuu hatuwezi kusema Udaktari ndo fani muhimu sana kukiko nyingine, Na tatizo za malipo duni ni kwa kada nyingi mfn waalimu, mapolisi, matrafk na kada za watu waliopo halmashauri.

Ili kutenda haki tunatakiwa kuboresha maslahi ya Kila kada
 
Mkuu hatuwezi kusema Udaktari ndo fani muhimu sana kukiko nyingine, Na tatizo za malipo duni ni kwa kada nyingi mfn waalimu, mapolisi, matrafk na kada za watu waliopo halmashauri.

Ili kutenda haki tunatakiwa kuboresha maslahi ya Kila kada
Kiongozi pamoja na kwamba kada zote ni muhimu
Ila sijui kama unaifaham vizuri Physics, Chemistry na Biology (PCB), pengine uulize vizuri kwenye shule Zenye hizo combination...utapata majibu yake KUWA kozi hazipo sawa
Kuna kozi zamani walikuwa wanaita (kwa utani) Kula - Lala - Faulu, uje ulinganishe na mtu mwingine usiku kucha yuko darasani akikesha?
 
Kuna wakati Uhuru alitaka kuwafuta kazi madaktari wa Kenya ili aagiri wa Tz. Je Tz wangeweza hiyo kazi kama ingekuwa kweli? Labda kusiwe na interview!!!
 
Back
Top Bottom