Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
- Thread starter
- #21
MmhSema sura jiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmhSema sura jiwe
Endurance paid her gold medal.. [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji108][emoji108]Congratulation to "Sharon Mbabazi"Ugandan sister who has been laying Bricks to pay her University Tuition, she has graduated with degree in Communication [emoji1254]
Source:AfricanUpdatesView attachment 1300559
🤣🤣🤣Iv Uganda hakuna madanga😎😎
Yes,sema mtaji.....labda atumie elimu kupata sponsorCongratulations to her, na kama vipi aendelee na biashara yake ya tofali kisomi zaidi+ communication skills alizopata chuo,atapata wateja wengii,all the best
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofali dili kwa anaefuatilisha, sio kibarua anafanya kazi ya kufyatua, afu kumbuka apo anajisomesha ina maana kuanzia kula,kuvaa,malazi,vyote anajihudumia afu kumbuka ni mwanachuo kwa iyo mda mwingi yupo chuo koo mda wake anaofanya kazi ni mchache koo kama anafanya kazi mda mchache ina maana pia anaingiza pesa kidogo, atha ajihudumie ayo mambo yote na bado imbakie hela ya smart, unaona inawezekana apo sijaweka hela za kutolea copy na mazagazaga mengineKwani tofali siyo dili?
Unamaanisha kupata Degree ya kwanza nayo ni kusoma sana? Kwa Dunia ya sasa Bachelor inatakiwa iwe ni kiwango cha elimu ya msingi(lazima)Bora angeivest kwenye biashara ya kufyatua tofali angetoka kuliko kumaliza chuo kisha unarudi mtaani kusaka ajira usiyojua utaipata lini.Kusoma Sana ni kuukaribisha umasikini.Kuwa na vyuo vikuu vingi nchini ni kuongeza idadi ya masikini nchini.
Bora angeivest kwenye biashara ya kufyatua tofali angetoka kuliko kumaliza chuo kisha unarudi mtaani kusaka ajira usiyojua utaipata lini.Kusoma Sana ni kuukaribisha umasikini.Kuwa na vyuo vikuu vingi nchini ni kuongeza idadi ya masikini nchini.
Mbona kama Sharon mfyatua tofali na Sharon aliyegraduate ni watu wawili tofauti? Mfyatua tofali mkono wa kushoto ni mlemavu na aliyegraduate mikono yote mizima. Au alianza kudraduate kisha akakatika mkono akaanza fyatua tofali then akarudi kusoma tena masomo aliyodraduate?Congratulation to "Sharon Mbabazi"Ugandan sister who has been laying Bricks to pay her University Tuition, she has graduated with degree in Communication [emoji1254]
Source:AfricanUpdatesView attachment 1300559
Mbona kama Sharon mfyatua tofali na Sharon aliyegraduate ni watu wawili tofauti? Mfyatua tofali mkono wa kushoto ni mlemavu na aliyegraduate mikono yote mizima. Au alianza kudraduate kisha akakatika mkono akaanza fyatua tofali then akarudi kusoma tena masomo aliyodraduate?View attachment 1300827
Sent using Jamii Forums mobile app
Yabidi nimpatie miwani yangu avae kwa kweli. 😅😅 sababu kiganja kinaonekana hapo.Ana ulemavu gan hapo mkuu?
Mbona kama Sharon mfyatua tofali na Sharon aliyegraduate ni watu wawili tofauti? Mfyatua tofali mkono wa kushoto ni mlemavu na aliyegraduate mikono yote mizima. Au alianza kudraduate kisha akakatika mkono akaanza fyatua tofali then akarudi kusoma tena masomo aliyodraduate?View attachment 1300827
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli sikuona vizuri. Niwaombe samahani kwa usumbufu uliojitokezaUmeandika gazeti la bure zoom huo mkono unaosema una ulemavu utaona hauna ulemavu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yabidi nimpatie miwani yangu avae kwa kweli. [emoji28][emoji28] sababu kiganja kinaonekana hapo.
Mbona kama Sharon mfyatua tofali na Sharon aliyegraduate ni watu wawili tofauti? Mfyatua tofali mkono wa kushoto ni mlemavu na aliyegraduate mikono yote mizima. Au alianza kudraduate kisha akakatika mkono akaanza fyatua tofali then akarudi kusoma tena masomo aliyodraduate?View attachment 1300827
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kuna shida kumiliki smart. Au wanaomiliki inatakiwa wawe watu wa namna gani?Mfyatua tofali anamiliki smart