Uganda: Binti aliyekuwa anafyatua tofali ili kulipa ada chuo, amaliza chuo na kupata digrii

Uganda: Binti aliyekuwa anafyatua tofali ili kulipa ada chuo, amaliza chuo na kupata digrii

Unaakili ndogo sana hivi unazani kujilipia ada, kujilisha, kujivalisha, kujihudumia kila kitu kwa kazi ya kufyatua tofali na hela nyingine ikabaki ni rahisi, tenah tambua huyo ni mwanachuo kwahiyo mda anaofanya kazi ni mdogo na hao huwa wanalipwa kutokana na kazii alofanya
Yote kwa yote jinsia yake........wadada wangapi wanaweza kufanya ivyo?
 
Mbona unahamisha mada? Au umekubaliana na Mimi, siku nyingine usikurupuke kupinga kama huna fact
Rudi kwa mtu uliyereply ujumbe wake,mi sijapinga popote ila nilisuport ulichoandika......so kuwa makini
 
Bora amejiongeza namna hii, huyu ndio mke sasa, maana ingekiwa wakina fulani wangeishia kudanga na shule wangeacha, nipendi anuani ya huyo binti niko na mpango wakujitafutia mke, huyo anafaa kabisa kuwa my wife
 
Back
Top Bottom