Kama unaweza ifute hiyo post yako. Sababu kila mwenye macho mazima ni lazima akione kiganja.Ni kweli sikuona vizuri. Niwaombe samahani kwa usumbufu uliojitokeza
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂hongera sana binti umenifurahisha wadangaji wanalo cha kujifunza
Hamna kwa macho yako mkuuSasa kuna kipi cha ajabu hapo!!?
Yote kwa yote jinsia yake........wadada wangapi wanaweza kufanya ivyo?Unaakili ndogo sana hivi unazani kujilipia ada, kujilisha, kujivalisha, kujihudumia kila kitu kwa kazi ya kufyatua tofali na hela nyingine ikabaki ni rahisi, tenah tambua huyo ni mwanachuo kwahiyo mda anaofanya kazi ni mdogo na hao huwa wanalipwa kutokana na kazii alofanya
Hauko sirias mzeeSema sura jiwe
Angekuwa anauza bangi kisha aka graduate kidogo ningeshangaa.....Hamna kwa macho yako mkuu
You are too British!Ila
Ila UG ni tabu maana wao ni weusi kwa weusi tiii hata wale weupe wa kubalancia mambo ni wachache mno ni heri wanawake wapambane na hali zako
Tatizo hamsomi mpaka mwisho bint kapata partial scholarship akapige shahada ya uzamivuHongera kwa kumaliza chuo ila kazi ya kufyatua nadhani bado ipo pale pale kama alitumia hela zote kwenye ada
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unahamisha mada? Au umekubaliana na Mimi, siku nyingine usikurupuke kupinga kama huna factYote kwa yote jinsia yake........wadada wangapi wanaweza kufanya ivyo?
Sijaiona kwakweli acha nikacheki vizuriTatizo hamsomi mpaka mwisho bint kapata partial scholarship akapige shahada ya uzamivu
Rudi kwa mtu uliyereply ujumbe wake,mi sijapinga popote ila nilisuport ulichoandika......so kuwa makiniMbona unahamisha mada? Au umekubaliana na Mimi, siku nyingine usikurupuke kupinga kama huna fact