Uganda: Chama tawala NRM wataka Museven aongoze hadi kifo

Uganda: Chama tawala NRM wataka Museven aongoze hadi kifo

Nawasikitikia waganda, Mseveni ndo kisha chukua hivyo term nyingine. Ni umugabe mpaka anakufa. Kuna la kujifunza pia. wanachama wa chama cha NRM wanataka kubadilisha katiba ili Mseveni agombee urais mpaka kufa, mhusika mkuu ambaye ni Mseveni yuko kimya.

Habari za rais wetu kuongezewa muda zimeshaanza na hata hata miaka 2 haijafika, kelele hizi zitazidi kuongezeka hasa awamu ya pili, ungetarajia rais muungwana awakemee watu hawa ili hili jambo lisiwakae akilin. Kama Kagame, mwanzoni wanakuwa kimya, mwishoni wanasema wao wanafuata matakwa ya wananchi.
Kuna mambo mawili; yeye mwenye anapenda hayo maneno yawaingie watanzania wengi, na kuna kundi linalofaidi uwepo wake ndilo linapiga kampeni za chini chini ili hilo lifanikiwe!
 
Nashindwa ata niongee nini,,,daah africa,sometimes i wish tutawaliwe tena maybe tunaweza kuwa na akili,au litokee ghalika tufe wote,maybe hao wajao wanaweza kuwa na akili kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawasikitikia waganda, Mseveni ndo kisha chukua hivyo term nyingine. Ni umugabe mpaka anakufa. Kuna la kujifunza pia. wanachama wa chama cha NRM wanataka kubadilisha katiba ili Mseveni agombee urais mpaka kufa, mhusika mkuu ambaye ni Mseveni yuko kimya.

Habari za rais wetu kuongezewa muda zimeshaanza na hata hata miaka 2 haijafika, kelele hizi zitazidi kuongezeka hasa awamu ya pili, ungetarajia rais muungwana awakemee watu hawa ili hili jambo lisiwakae akilin. Kama Kagame, mwanzoni wanakuwa kimya, mwishoni wanasema wao wanafuata matakwa ya wananchi.
Unasema Uganda ni vipi nahili jinamizi letu na kuna mijitu mipumbavu imeanza kushangilia huo upuuz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo tuwaachie haohao, Museven, Kagame n.k!
Sisi tuzidi kuimarisha taasisi na kanuni zetu ambazo mtu au chama chochote ataweza/kitaweza kuzitumia kutuwezesha mpaka kuweka 'sattelites' angani!
TANZANIA MBELE KWA MBELE!
 
Hawa viongozi wa Africa wana matusi ya wazi kwa wananchi wao! Uganda nzima hakuna anayeweza kuwa raisi isipokuwa yeye? Tuna safari ndefu, uchu wa madaraka unaturudisha waafrika nyuma.
 
Back
Top Bottom