kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Hao wanamenyana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sauti ya Brother K 🤣🤣🤣Ukishaona hivyo tayariii
Wana-address ushoga to the public hakuna kingine, excuse yao haina maana yoyote, tayari ujumbe umefika kwa jamii.
Mwanamuziki Jose Chameleon amewaomba radhi mashabiki wake baada ya kumbusu kaka yake Weasel jukwaani, wakati wa tamasha la Gwanga Mujje, kitendo ambacho wengi wamekiita kuwa ni cha kuudhi
Mnamo Februari 24, ndugu hao wawili walikuwa jukwaani wakitumbuiza, wakati Chameleone alipoelekea Weasel na wakabusiana midomoni, kitendo ambacho kimelaaniwa vikali hali iliyosababisha hitmaker huyo wa ‘Tubonge’ kuomba radhi hadharani
.............
Ugandan singer Jose Chameleon has apologised to his fans after kissing his brother Weasel on stage, an act that many have termed distasteful.
During a concert in Kampala on February 24, the two brothers were on stage performing, when Chameleone walked towards Weasel and they had a kiss on the lips.
The singers were strongly condemned for the act during the 'Gwanga Mujje' concert, prompting the ‘Tubonge’ hitmaker to issue a public apology.
“I wish to use this opportunity to apologise to my fans, friends for the deed me and Weasel shared on stage. I know most of my friends are offended and did not take it lightly. I sincerely apologise, it was just too much energy, excitement. I actually regret it, the energy was so high and it was just a wrong way to share it with Weasel, my brother,” Chameleone said.
He added that the apology is also on behalf of his brother Weasel, who has since remained mute.
Earlier, Chameleone had pulled a similar stunt with his brother Pallaso.
The two danced to their new song Bega Bega in a very suggestive manner that was also termed distasteful.
Source: Citizen Digital
😂Wanaume hatupigani denda hata siku moja. Mara zote huwa tuna tunakula mate na mademu wanaopiga mswaki
Mu7 anasemaje
Mwanamuziki Jose Chameleon amewaomba radhi mashabiki wake baada ya kumbusu kaka yake Weasel jukwaani, wakati wa tamasha la Gwanga Mujje, kitendo ambacho wengi wamekiita kuwa ni cha kuudhi
Mnamo Februari 24, ndugu hao wawili walikuwa jukwaani wakitumbuiza, wakati Chameleone alipoelekea Weasel na wakabusiana midomoni, kitendo ambacho kimelaaniwa vikali hali iliyosababisha hitmaker huyo wa ‘Tubonge’ kuomba radhi hadharani
.............
Ugandan singer Jose Chameleon has apologised to his fans after kissing his brother Weasel on stage, an act that many have termed distasteful.
During a concert in Kampala on February 24, the two brothers were on stage performing, when Chameleone walked towards Weasel and they had a kiss on the lips.
The singers were strongly condemned for the act during the 'Gwanga Mujje' concert, prompting the ‘Tubonge’ hitmaker to issue a public apology.
“I wish to use this opportunity to apologise to my fans, friends for the deed me and Weasel shared on stage. I know most of my friends are offended and did not take it lightly. I sincerely apologise, it was just too much energy, excitement. I actually regret it, the energy was so high and it was just a wrong way to share it with Weasel, my brother,” Chameleone said.
He added that the apology is also on behalf of his brother Weasel, who has since remained mute.
Earlier, Chameleone had pulled a similar stunt with his brother Pallaso.
The two danced to their new song Bega Bega in a very suggestive manner that was also termed distasteful.
Source: Citizen Digital
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ukute wanakoboana hawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukishaona hivyo tayariii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi vitu havinaga siri! Havifichiki......
Siku hizi viko waziwazi kama kibumbu cha kuku! Alijaribu kumtumia ndungu yake awe anamkunula! anampelekea moto...siri isitoke nje....
Matokeo yake pembe la ng'ombe limemkolea hadi kudhani wako chumbani ...kumbe wako jukwaani....
Inaonyesha wazi walishazoea kunyanduana hawa!! Hawakuanza jana!
Ukute alilipwa hela nyingi kinoma,kwa hicho tu kitendo cha kuwasapotu LGTBQKaharibu wengi mchawi huyu.
View attachment 2537471