Uganda ina Silaha za Kijeshi nyingi kuliko nchi zote Afrika Mashariki

Uganda ina Silaha za Kijeshi nyingi kuliko nchi zote Afrika Mashariki

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
According to the publicly disclosed Military equipment, Uganda leads Kenya

1664809897387.png


Hata hivyo, Uganda ina Budget ndogo zaidi kwa nchi tatu za Maziwa Makuu

1664810007210.png


Kwenye upande wa viwango vya Rushwa
1664810160215.png


1664810338972.png
 
Hayo masifuri ndio kumaanisha kwamba sisi kwenye medani za kivita ni zero brain au? Maana naona masifuri kibao
 
Duh! Hebu kwanza weka pembeni vya Kenya na Uganda, hivi kumbe Tanzania hamna kitu jameni, hizo sifuri pamoja na liinchi lote hilo..kha!!
 
Ndo maana mjomba muhoozi alikuwa anaitaka Nairobi kwa wiki 2 tu
 
Wajeee wajaribu mziki huu watakojoa sisi ndo baba wa east africa km unavoona USA ni baba wa dunia ...huyo mtoto chizi wa Uganda aje atikise mzinga wa nyuki aone minundu atakayo ipata.
 
Back
Top Bottom