Uganda kuidhinisha Kiswahili kama lugha ya pili baada ya Kingereza - Wakenya fursa hizooo

Scientific researches zote zinaonyesha kwamba, wakenya wengi awe amesoma au hakusoma wanaelewa Kiswahili, wakati Kiingereza ni chini ya 45%. Wewe unazungumza kutoka kichwani kwako, vile unavyohisi kutokana na unavyoona katika mazingira au sehemu unayoishi, lakini hata wenzako wote hapa JF wabakubali kwamba wakenya wengi wanaelewa vizuri kiswahili kuliko kiingereza, swali ni kwanini viongozi wenu wasitumie lugha ya taifa ambayo sio tu kwamba inaeleweka kwa watu wengi, lakini pia ni lugha yenu ya taifa?.
 
Kama tupo ovyo katika kingereza ile kesi ya ndege kule A . kusini iliendeshwa kwa kingereza walienda mawakiri wa Kenya au kulikuwa na mzungu anawatafsilia
 
Edit hapo kidogo
Mawakili [emoji23][emoji23][emoji23]
Kama tupo ovyo katika kingereza ile kesi ya ndege kule A . kusini iliendeshwa kwa kingereza walienda mawakiri wa Kenya au kulikuwa na mzungu anawatafsilia
 
Godzilla mbona una machungu jameni? Nyumbani kwema lakini? Ama mke ametoroka?
Nina machungu maana mna kiherehere na Kiswahili huku hamkiwezi!

Kinawapiga bao na chenga tata za mwili!

Mtuache na Kiswahili chetu maana tunakimudu.

Sarakasi zote za Kisarufi tunaruka nazo bila tabu hata tukiwa ndotoni!

Hebu tamka "maridhawa"!
 
Tena cha kushangaza kuusu Kenya walimu wao ndiyo wanaongoza Kwa kutukujua kiswahili vizuri bora hata wakenya wa JF wanajitaidi
Hahahahhaaaaaaa

Hawa wabangaizaji wa lugha kama MK254 wamejifunza Kiswahili humu humu Jamiiforums.

MK254 alikuwa ngumbaru tu hata upatanisho wa kisarufi kwake ni mtihani.

Basi tangu akijue jue Kiswahili anajitia mjuuuuziiii!!

Namcheki tu kwa mbali nasema "hiiiiiiiiiiiiiii"......
 
Haahha usipate nae shida ana kiswahili cha kukariri huyo kama roboti, haiwezekeka kwenye kuchati uandike kama unaandika imla maajabu haya eti mmarekani amkosoe muEngland kuongea kingereza.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
"aisei"nahisi kama kijaluo vile wakenya bwana [emoji23][emoji23][emoji23] alama za uandishi zingatia wewe ambae bado unajifunza humu jf .naona mmelishwa unga wa ndwele mnahisi kingereza kama lugha za babu zenu vile
 
You so proud of Kiswahili. Why arent you that proud of your native tongue, you know the language your ancestros have been speaking for centuries????
Because native languages are very much associated with negative tribalism, we don't like that.
 
Endeleeni kujidanganya,
But afadhali wa l na r maana unaweza kumuelewa vizuri tu sana kuliko mtu wa meru, kikuyu nk ambao hawaeleweki hata kidogo [emoji23][emoji23][emoji23]
Magharibi mwa Tanzania na nyanda za kusini Wana Hilo tatizo.
 
Utawaua hao kwa hoja nzito maana hao hawajui wanachoongea pia hawajui kama wa TZ wataaramu wa kuongea kisheria na kujenga hoja hata kama mtu hujawahi kusomea sheria, Ndio maana watu wanasema mbongo ukimkamata usimpe nafasi ya kujitetea utamkosa. Na pia kwa kuongezea kama wakenya wanaojua kingereza chini ya 50% kwann vipindi vingi vya Tv Chanel zao vinaendeshwa kwa kingereza tukianza na taarifa ya habari, magaazeti n.k au kwaniaba ya wananchi wasomi tu?
 
Wakenya wanaoelewa ujumbe unaotolewa kwa kiingereza ni 45%, wakati wanaoelewa ujumbe unaotolewa kwa Kiswahili ni 75%. Swali, kwanini viongozi wenu na serikali nzima hutumia kiingereza?
Maana takwim za serikali zinaonesha kua wakenya wengi Wana uwezo wa kuelewa English.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…