Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Demu nae alinogewa, ingekua kweli Hataki basi asingekubali jamaa afike Kote huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alimnyonya....? Binti hakuwa na nguo....?
Wajua mkuu visa vingine vinashangaza....Uchi uchi itapendeza Mkuu
Wajua mkuu visa vingine vinashangaza....
Nina shaka, yawezekana walikuwa na mahusiano so yamekwisha sababu ya sintofahamu, so mdada ameamua amkomeshe jamaa...hawa watu ujue tunapaswa kuishi nao kwa akiliKabisa Mkuu unamvamiaje mtu na stop ya kwanza ni mdomo na papuchi yake!? 😱😱😱
Angekuwa kwenye siku zake ingependeza.
Mkuu umeziona hizo pistoz za Mtoto Rachel lakin...Kabisa Mkuu unamvamiaje mtu na stop ya kwanza ni mdomo na papuchi yake!? 😱😱😱
Angekuwa kwenye siku zake ingependeza.
Kama hakupata papuchi ni mzembe![]()
KISUZE EDWARD ambaye ni Ofisa Utawala Mwandamizi Ofisi ya Usajili wa Wanafunzi katika Chuo Kikuu cha Makerere, Uganda, amesimamishwa kazi kwa kumdhalilisha kijinsia mwanafunzi wa kike.
Barua ya kusimamishwa kazi.
![]()
Barua iliyotolewa na Kaimu Mkuu wa chuo hicho, Prof. William Bazeyo, kwenda kwa mtuhumiwa, imemsimamisha kazi ili kupisha uchunguzi wa tukio hilo ambapo pia hatakiwi kufika katika ofisi hizo.
Mlalamikaji, Njoroge Racheal, aliiambia polisi kwamba Kisuze alimbusu kwa nguvu kwenye mapaja yake na kumshika sehemu za siri.
Mwanafunzi huyo alitumia simu yake kupiga picha kadhaa za tukio hilo ambazo amezifikisha polisi.
Katika maelezo aliyoyatoa polisi, mwanafunzi huyo alisema tukio hilo lilitokea katika chumba cha ofisi ya Kisuze alipokwenda kuchukua matokeo yake ya awali na barua ya uthibitisho chuoni. Wakati anavitazama hati hizo, mtuhumiwa alimkamata na kumlaza kwenye makabati ya mafaili, akamnyonya maziwa na mapaja, na kumwingiza vidole sehemu zake za siri.
Maelezo ya mwanafunzi.
![]()
Ni wakati hayo yanatokea, alitumia simu yake kupiga picha za tukio hilo na kumtishia kumshitaki ndipo mtuhumiwa alipomwachia akaondoka hapo akilia.
![]()
CHANZO Afisa Chuo Kikuu Aliyemnyonya Mwanafunzi Sehemu za Siri Asimamishwa Kazi | UDAKU SPECIAL
My take;
Jamani mliopo kwenye taassisi za elimu ya juu ni kweli kuwa sheria haziwazuii kuwa wapenzi na wanafunzi wenu ikiwa nje ya eneo la kazi na bila kuathiri kazi.. ila wengine mnakosea kutake advantage ona sasa Mtu na elimu yake anayeaminiwa na jamii yake ikiwemo mke wake anavyoaibika
Kabisa Mkuu....Mpuuzi huyo mwanafunzi, sema kuna mambo wamepishana na huyo jamaa,
Haiingii.akilini dada mzima ufanyiwe vile na apate mda wa kumpiga picha mhusika.
Jamaa kaingizwa mkenge na dellilah!!
Mkuu umeziona hizo pistoz za Mtoto Rachel lakin...
Mateso bila chuki...
Hahhahaaa..