Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Limama lizima vile eti limenyonywa k, huku liko bize kupiga selfie??Kabisa Mkuu....
Jamaa kachomewa ...
Haingii akilini..
Utafikiria ni ng'ombe ananyonyesha ndama. Hapa kuna kitu walishindwana.Limama lizima vile eti limenyonywa k, huku liko bize kupiga selfie??
That was a planned scum!!
Kweli aseeh kuna uwezekano kaingizwa mkenge hapa huenda walipishana kwenye harakati..........Mpuuzi huyo mwanafunzi, sema kuna mambo wamepishana na huyo jamaa,
Haiingii.akilini dada mzima ufanyiwe vile na apate mda wa kumpiga picha mhusika.
Jamaa kaingizwa mkenge na dellilah!!
Aidha aliahidi kumpa grade ya juu kwenye somo halafu akapunguza au aliahidi fedha/zawadi fulani halafu hakutimiza au alimsaliti kwa kutembea na mrembo mwingine au .......Kweli aseeh kuna uwezekano kaingizwa mkenge hapa huenda walipishana kwenye harakati..........
Makerere ipo uganda mkuu.Hii habari ina utata sana, ila wakenya nao wajanja wajanja sana na sheria wanazijua. Huyu binti alijua anachokifanya ila profesa kaingia kwenye mtego.
Kuna siku Nairobi nilipotelewa na pesa hotelini kama 100 USD, nikamuuliza kijana anaefanya usafi kama kwa namna yeyote ameziona. Akasema hajachukua, nikamwambia nitoe taarifa kwa mkuu wako wa kazi? Akasema ni sawa tu! Dah, ile ningeenda kichwakichwa angecheza na sheria na ingekula kwangu. Nikaishia kutoa taarifa bila kusema au kumtuhumu mtu.
Makerere ipo uganda mkuu.
Vp baada ya kutoa taarifa ikawaje
Ila msichanya ni Mkenya si uangalie majina. Unaishi wapi hujui majina ya Wakikuyu ya akina Njeri, Njoroge, Kinyanjui, Wambui, etcMakerere ipo uganda mkuu.
Vp baada ya kutoa taarifa ikawaje
Mimi naitwa onyango ila ni mtanzaniaIla msichanya ni Mkenya si uangalie majina. Unaishi wapi hujui majina ya Wakikuyu ya akina Njeri, Njoroge, Kinyanjui, Wambui, etc
Hivi vitabia chuoni ni sugu wanawake wakiamua kuwashtaki hamna anayebaki salamaMpuuzi huyo mwanafunzi, sema kuna mambo wamepishana na huyo jamaa,
Haiingii.akilini dada mzima ufanyiwe vile na apate mda wa kumpiga picha mhusika.
Jamaa kaingizwa mkenge na dellilah!!
Hyo tabia hata Udsm ipo office ndo pakufanyia huo uchafu tena wengine wanakushika kwa nguvuKuna jambo kubwa sana limejificha HAPA.
Ila huyo dada kamkomoa tu angalia kivazi na alivyo tulia huku akifanyiwa hayoHivi vitabia chuoni ni sugu wanawake wakiamua kuwashtaki hamna anayebaki salama