Uganda, Makerere: Afisa utawala afukuzwa baada ya kushitakiwa kwa kumdhalilisha Mwanachuo kimapenzi

Uganda, Makerere: Afisa utawala afukuzwa baada ya kushitakiwa kwa kumdhalilisha Mwanachuo kimapenzi

Chekini comment ya mdau mmoja hapo Gordon Ariho
Screenshot_20180418-212200.jpg
 
Mpuuzi huyo mwanafunzi, sema kuna mambo wamepishana na huyo jamaa,
Haiingii.akilini dada mzima ufanyiwe vile na apate mda wa kumpiga picha mhusika.

Jamaa kaingizwa mkenge na dellilah!!
Hii ishu nilifuatilia mda kidogo ila huyo demu alikomaa na hyo ishu balaa, nilisha wahi kumskia bbc akihojiwa/ alizunguka na hyo kesi balaa
 
Sio Kenya lkni, tukio la dada ni Uganda, Makerere University mkuu

Makerere Uganda hawachukui wanafunzi kutoka Kenya? Mie nimeongelea wakenya na mfano nilioutolea hapo juu ni wa mkenya, tofauti ni kwamba tukio langu lilitokea Kenya na huyu mkenya kafanya tukio Makerere Uganda.
 
Wachunguze vizuri watapata majibu,inawezekana kuna kitu walikubaliana ila mmojawapo hakutimiza

I have a dream.
 
Huyu bint alikuwa radhi kufanyiwa hayo.. Yaani anatiwa vidole ananyonywa sehemu za siri yeye busy anapiga selfie ? Na kama jamaa hajamkamua atakuwa mzembe sana...we unanyonyaje then unamwacha ? Angempiga na kipande cha mpingo aone kama ngepata nafasi ya kuchukua selfie... Shenzi taipu kabisa....
 
Huyu bint alikuwa radhi kufanyiwa hayo.. Yaani anatiwa vidole ananyonywa sehemu za siri yeye busy anapiga selfie ? Na kama jamaa hajamkamua atakuwa mzembe sana...we unanyonyaje then unamwacha ? Angempiga na kipande cha mpingo aone kama ngepata nafasi ya kuchukua selfie... Shenzi taipu kabisa....
 
Mkuu umeziona hizo pistoz za Mtoto Rachel lakin...

Mateso bila chuki...

Hahhahaaa..
Nina hisia mbaya kuwa huyo jamaa ni wewe maana si kwa kumzimikia kiivyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenzio niko hapa natetemeka we unaangalia pisto????
 
Picha za Rachel akiwa na nguo anahips hatari akiwa mapaja nje hana hips,,,

Mwalimu alijua ndani ivoivo,,kumbe moja,,hahaaa
 
Huyu bint alikuwa radhi kufanyiwa hayo.. Yaani anatiwa vidole ananyonywa sehemu za siri yeye busy anapiga selfie ? Na kama jamaa hajamkamua atakuwa mzembe sana...we unanyonyaje then unamwacha ? Angempiga na kipande cha mpingo aone kama ngepata nafasi ya kuchukua selfie... Shenzi taipu kabisa....
Mkuu umeandika kwa hasira [emoji1][emoji1]
 
Duuh,ila nahisi walikubaliana ila labda kama alifanya ofisini maana hadi mtu afike kote huko kama msichana alikuwa hataki angepiga kelele,na nijuavyo mwanamke kama hataki hata uwe na winchi humpati
 
ila nae anajipg picha kbs inaonekana hana was was na tukio
 
Back
Top Bottom