Uganda: Milipuko Miwili ya Mabomu yatokea Jijini Kampala

Uganda: Milipuko Miwili ya Mabomu yatokea Jijini Kampala

FB_IMG_16370559382004696.jpg
 
Hakuna ugaidi Uganda, mi nahisi huu ni mchezo wa m7 mwenyewe. Kwan uchaguzi Uganda lini?
 
Duu! Inabidi serikali na bunge la Uganda vijitathmin! Swali kwanini walipuaji hawakuwalipua wananchi, wakawalipua maofisa wa polisi? Je kwanini wasilipuwe eneo jingine wakalipuwe mtaa wa bunge??
 
Back
Top Bottom