pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Kwamba hamza hakuwa gaidi?Mkuu mbona unauliza mwaswali ambayo ndani yake yana majibu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba hamza hakuwa gaidi?Mkuu mbona unauliza mwaswali ambayo ndani yake yana majibu?
Duu! Inabidi serikali na bunge la Uganda vijitathmin! Swali kwanini walipuaji hawakuwalipua wananchi, wakawalipua maofisa wa polisi? Je kwanini wasilipuwe eneo jingine wakalipuwe mtaa wa bunge??
Hamza alikuwa gaidi kwa mujibu wa wenye mamlaka ya kutangaza ugaidi.Kwamba hamza hakuwa gaidi?
hii inatuathiri sisi tanzania!Kagame anamnyoosha mtu!
Hamza hivi yeye alimlenga Nani?Duu! Inabidi serikali na bunge la Uganda vijitathmin! Swali kwanini walipuaji hawakuwalipua wananchi, wakawalipua maofisa wa polisi? Je kwanini wasilipuwe eneo jingine wakalipuwe mtaa wa bunge??
Si ndio hao hao wanasema mbowe gaidi?Hamza alikuwa gaidi kwa mujibu wa wenye mamlaka ya kutangaza ugaidi.
Sawa mkubwa kuwa na furaha na amani moyoni lkn ujue shahidi wa kweli ni mwenyezi Mungu.Si ndio hao hao wanasema mbowe gaidi?
Kwanini unapinga
Hamza sio gaidiHamza hivi yeye alimlenga Nani?
Hakika mwenyezimungu ni mjuzi wa kila kituSawa mkubwa kuwa na furaha na amani moyoni lkn ujue shahidi wa kweli ni mwenyezi Mungu.
Au ni kwa sababu ni mwana ccn ndiyo maana hakutumia fweedhaaa?Gaidi hamza hakutumia hata jero kuuwa askari wote wale,wewe una shangaa ya gaidi mbowe mbona nyingi hizo [emoji23][emoji1787]
Ccm ndiyo chuo cha hao magaidi kina HamzaSisi Tanzania tunashukuru mungu tumewahi kumdhibiti kubwa la magaidi mbowe kabla hajaleta madhara
AminaHakika mwenyezimungu ni mjuzi wa kila kitu
Kwani mbona nyinyi ma uvccm hamkumkataza gaidi mwenzenu asifanye aliyo yafanya?Halafu viazi vya bavicha vinatoka povu kwa kumtetea gaidi mbowe kama vile hayajui madhara ya ugaidi [emoji23][emoji1787]
Hata sijui, sijui ni tension na rwanda, sijui ni alshabab...yani hatariii...linahusiana na nini hilo? ni ADF?
kuna kundi la kigaidi kule msitu wa congo la ADF wale wanaosema wanataka kuifanya uganda kuwa ya kiislam. wana muunganiko na isis, kamanda wao alikamatwaga kipindi fulani dsm akapelekwa kisutu kwa extradition na kurudishwa uganda kama unakumbuka. rwanda hawezi hata siku moja kuivamia au kuishambulia nchi yeyote africa mashariki isipokuwa congo na burundi.Hata sijui, sijui ni tension na rwanda, sijui ni alshabab...yani hatariii...
Sure hatarii mkuu...kuna kundi la kigaidi kule msitu wa congo la ADF wale wanaosema wanataka kuifanya uganda kuwa ya kiislam. wana muunganiko na isis, kamanda wao alikamatwaga kipindi fulani dsm akapelekwa kisutu kwa extradition na kurudishwa uganda kama unakumbuka. rwanda hawezi hata siku moja kuivamia au kuishambulia nchi yeyote africa mashariki isipokuwa congo na burundi.