UGANDA: Msemaji wa Jeshi la Polisi auawa kwa risasi pamoja na walinzi wake wote



WE nae unatuchanganya...
Taarifa inasema yeye na Walinzi wake wawili wamepigwa risasi na watu wasiojulikana...

Halafu wewe unasema kapigwa risasi na mlinzi wake. Tuamini lipi sasa?????
ACHA ujinga.
 
Mwenzako akinyolewa..........................ji.
 
Kwani hapo kwenye picha tayari wamekufa??
Mbona kama wanachungulia chini hivi....
 
Daaaaa....R.I.P mwera wa Uganda, tuombe hayo madhira ya kishetani yasijefika huku kwetu Tz.
 
Mimi sina neno nzuri au la pengine linaloweza kufariji ninachoweza kusema ni kile ambacho dini yangu inanifundisha nacho ni .............sawa na matendo yako......kila mmoja atalipwa? na Kizy Besidye naye atalipwa na mseven naye atalipwa sawa sawa na matendo yake.
 
Ubabe ktk jambo lolote lile siyo mzuri. Ukiwa mbabe hebu jaribu kuwa na maamuzi ya haki basis!!!. R.I.P. Commander
 
Ukiwa mbabe jitahidi basi kuvaa hata bulletproof,na pia gari vioo viwe na uwezo wa kuzuia risasi,maana hujui mda wala saa watu watachoka na kuamua kufanya kitu kibaya
 
Haya majina yananichanganya. Kuna msemaji mmoja wa jeshi kutoka uganda nilikuwa namsikia sana akihojiwa bbc, akiitwa Major Felix Kulaije - kitu kama hicho. Ndiye huyu aliyeuwawa kwa kupigwa risasi?
 
Assistant IGP wa of Uganda Felix Kaweesi and two others, his driver and bodyguard have been shot dead this morning brutallity by bodaboda on their way to office, the investigation is undergoing.
 
ingekua bongo tungesema mengi sana hasa wauza madawa

wacha tuone uchunguzi unasemaje

rest in peace kaweesi
 
uwe makini basi dogo uwekepo na angalizo
afu heading imalizie kabisa ieleweke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…