ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Rais Yoweri Museveni wa Uganda amekataa kusaidini muswada wa Fedha hasi hapo Bunge litakaporejesha pesa kiasi Cha Bilioni 750 zilizotengwa Kwa matumizi mengine ya serikali ambayo hayajabainishwa wazi.👇👇
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amekataa kutia saini Muswada wa Matumizi ya Pesa za Bajeti 2024 hadi Bunge la nchi hiyo litakaporejesha Sh750 bilioni zilizotengewa kwa ajili ya matumizi ya mipango muhimu ya serikali katika mwaka wa kifedha 2024/2025.
Ni q
Wazi hizo Nchi Zina wabunge vilema wa akili ukilinganisha na Bunge la Tanzania lililojaa Wabunge wabobezi ambao wamekuwa wakiisimamia Serikali vizuri.
Mojawapo ya mambo waliyofanikisha ni hili hapa Kutoka Bungeni, Serikali imesema Itakata OC Kwa 20%,Magari Kwa 50%, Matengenezo Kwa 50%.Itaondoa Kodi kwenye gesi
My Take
Ni Wazi Bunge la Tanznaia lilolojaa wasomi na linaloongozwa na Spika Makini liko makini kuliko huko kwingine.👇👇
Serikali yaondoa ushuru wa Tsh. 382 kwenye gesi asilia ya magari
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amekataa kutia saini Muswada wa Matumizi ya Pesa za Bajeti 2024 hadi Bunge la nchi hiyo litakaporejesha Sh750 bilioni zilizotengewa kwa ajili ya matumizi ya mipango muhimu ya serikali katika mwaka wa kifedha 2024/2025.
Ni q
Wazi hizo Nchi Zina wabunge vilema wa akili ukilinganisha na Bunge la Tanzania lililojaa Wabunge wabobezi ambao wamekuwa wakiisimamia Serikali vizuri.
Mojawapo ya mambo waliyofanikisha ni hili hapa Kutoka Bungeni, Serikali imesema Itakata OC Kwa 20%,Magari Kwa 50%, Matengenezo Kwa 50%.Itaondoa Kodi kwenye gesi
My Take
Ni Wazi Bunge la Tanznaia lilolojaa wasomi na linaloongozwa na Spika Makini liko makini kuliko huko kwingine.👇👇
Serikali yaondoa ushuru wa Tsh. 382 kwenye gesi asilia ya magari