Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
hajui hata kilichoandikwa, yeye anaangusha wino tu.Chura kiziwi alisha saini zamaaaaaani..bila hata kusoma 😂 bila hata kujali makolokolo yaliojazana humo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hajui hata kilichoandikwa, yeye anaangusha wino tu.Chura kiziwi alisha saini zamaaaaaani..bila hata kusoma 😂 bila hata kujali makolokolo yaliojazana humo
Umeandika ujinga gani unapomtaja huyo looser? Nini hoja Yako bwana Sukuma gang.Japo kinyonge ila wakati upo muamko na uelewa wa wananchi miaka 5 ya JPM inatosha kutufikisha kwenye maamuzi magumu ambayo ccm na majambazi yao hawajahi kuota
Rais Yoweri Museveni wa Uganda amekataa kusaidini muswada wa Fedha hasi hapo Bunge litakaporejesha pesa kiasi Cha Bilioni 750 zilizotengwa Kwa matumizi mengine ya serikali ambayo hayajabainishwa wazi.👇👇
View: https://twitter.com/Mwanahalisitz/status/1806260843740361085?t=cLQRKPsJpWfxXL2VapX2qA&s=19
My Take
Ni Wazi Bunge la Tanznaia lilolojaa wasomi na linaloongozwa na Spika Makini liko makini kuliko huko kwingine.👇👇
View: https://twitter.com/TBConlineTZ/status/1805943513680331144?t=-f7YaZVCPVJb_pf1ur6Hsg&s=19
View: https://www.instagram.com/p/C8trFT8R2oB/?igsh=MXJxcG1sMm9nMW1ubg==
Huna hoja wewe nyumbuKuhatarisha usalama wa tako lako kwa lengo la kupata provillages
😅😅😅yupo kupaka hina na kusinzia huyu maza nafasi yake ni kubwa kumzidi km ana busara na utu mwakani ampishe mtu mwingineChura hana habar kavimba mashavu tu mpaka masikio yamekua kiziwi
Hajui,wewe unajua?Chura sijui kama anajua hata vipengele vya bejiti ipoje. Yeye anasimuliwa na tu na watu wa deal
We mpumbavu sana kumbe ukiona JPM unajiharishia namna hiiUmeandika ujinga gani unapomtaja huyo looser? Nini hoja Yako bwana Sukuma gang.
Thibitisha haya madai Yako tuone na sisi.😅😅😅yupo kupaka hina na kusinzia huyu maza nafasi yake ni kubwa kumzidi km ana busara na utu mwakani ampishe mtu mwingine
JPM kwangu ni looser,nini hoja Yako bwana Sukuma gang?We mpumbavu sana kumbe ukiona JPM unajiharishia namna hii
Kwako looser kwangu winner njoo uniueJPM kwangu ni looser,nini hoja Yako bwana Sukuma gang?
Winner Kwa lipi hasa la kulinganisha na Samia? Tuanzie hapo kwanza.Kwako looser kwangu winner njoo uniue
UsinichosheThibitisha haya madai Yako tuone na sisi.
Ushindi wake wa kwanza n kufanikiwa kukupa mimbaWinner Kwa lipi hasa la kulinganisha na Samia? Tuanzie hapo kwanza.
Huna hoja wewe nyumbu na msukule wa MwendazakeUshindi wake wa kwanza n kufanikiwa kukupa mimba
Thank you🤩Ushindi wake wa kwanza n kufanikiwa kukupa mimba
Thibitisha kwanza ,nikuchoshe kwani nakupumulia?Usinichoshe
Wajinga wanapongezana 😂😂👇👇Thank you🤩