MADAM T JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 5,747 Reaction score 2,977 Jun 27, 2024 #41 ChoiceVariable said: Chawa ndio nini? Click to expand... ChoiceVariable!
ChoiceVariable JF-Expert Member Joined May 23, 2017 Posts 66,537 Reaction score 75,687 Jun 27, 2024 Thread starter #42 MADAM T said: ChoiceVariable! Click to expand... Huna hoja unaleta vioja
K KUTATABHETAKULE JF-Expert Member Joined Apr 2, 2012 Posts 5,159 Reaction score 5,070 Jun 27, 2024 #43 Unapanga bajeti, kisha unazuia malipo fulani ambayo umekwishayapitisha kufanyika. Hii ni hadithi tu kufurahisha genge. Hakuna kitakachozuiwa.
Unapanga bajeti, kisha unazuia malipo fulani ambayo umekwishayapitisha kufanyika. Hii ni hadithi tu kufurahisha genge. Hakuna kitakachozuiwa.
ChoiceVariable JF-Expert Member Joined May 23, 2017 Posts 66,537 Reaction score 75,687 Jun 27, 2024 Thread starter #44 KUTATABHETAKULE said: Unapanga bajeti Kishan unazuia malipo fulani kufanyika. Hii ni hadithi tu kufurahisha genge. Hakuna kitakachozuiwa. Click to expand... Tanznaia Haina maigizo Wala ujinga wa dizaini hiyo. Pia utaratibu wa Tzn ni kinyume na hao sisi huku Rais asiposaini Bill Serikali inahesanika imeanguka.
KUTATABHETAKULE said: Unapanga bajeti Kishan unazuia malipo fulani kufanyika. Hii ni hadithi tu kufurahisha genge. Hakuna kitakachozuiwa. Click to expand... Tanznaia Haina maigizo Wala ujinga wa dizaini hiyo. Pia utaratibu wa Tzn ni kinyume na hao sisi huku Rais asiposaini Bill Serikali inahesanika imeanguka.
MADAM T JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 5,747 Reaction score 2,977 Jun 27, 2024 #45 ChoiceVariable said: Huna hoja unaleta vioja Click to expand... Hoja ya nini!? Hilo ndio jibu la swali lako!
ChoiceVariable said: Huna hoja unaleta vioja Click to expand... Hoja ya nini!? Hilo ndio jibu la swali lako!
K KUTATABHETAKULE JF-Expert Member Joined Apr 2, 2012 Posts 5,159 Reaction score 5,070 Jun 27, 2024 #46 ChoiceVariable said: Tanznaia Haina maigizo Wala ujinga wa dizaini hiyo. Pia utaratibu wa Tzn ni kinyume na hao sisi huku Rais asiposaini Bill Serikali inahesanika imeanguka. Click to expand... Wanasheria huko Kenya wanalifikiria Hilo. Muhimili mmoja usiingilie uamuzi wa mwingine
ChoiceVariable said: Tanznaia Haina maigizo Wala ujinga wa dizaini hiyo. Pia utaratibu wa Tzn ni kinyume na hao sisi huku Rais asiposaini Bill Serikali inahesanika imeanguka. Click to expand... Wanasheria huko Kenya wanalifikiria Hilo. Muhimili mmoja usiingilie uamuzi wa mwingine
J JokaKuu Platinum Member Joined Jul 31, 2006 Posts 34,188 Reaction score 62,952 Jun 27, 2024 #47 ..Finance Bill huwa haiendi Bungeni bila kuwa imeridhiwa na Raisi na Baraza lake la Mawaziri. ..Sasa katika mazingira hayo Rais Museveni anapingaje hiyo Finance Bill, kama sio unafiki tu?
..Finance Bill huwa haiendi Bungeni bila kuwa imeridhiwa na Raisi na Baraza lake la Mawaziri. ..Sasa katika mazingira hayo Rais Museveni anapingaje hiyo Finance Bill, kama sio unafiki tu?