britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Nchini Uganda mwanamke ambaye ni mwananfunzi aliyekosa kusomeshwa na Serikali anevamia mkutano wa mawaziri na kuwavuruga kwa kusema maneno machafu na kumtukana Waziri wa elimu, kwamba ni bogus, anakaa kumshangilia Rais Museveni na kununua ipad kwa wabunge wezi.