Uganda na Kenya ndio Ndugu na Marafiki wa kweli kwa Tanzania

Uganda na Kenya ndio Ndugu na Marafiki wa kweli kwa Tanzania

Carica_papaya

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2018
Posts
767
Reaction score
1,272
Kuna msemo wa Kiswahili usemao Rafiki/ Jirani wa kweli utamjua wakati wa shida. Tanzania imekua nchi ya kwanza kwa kuondokewa na Rais wake kipenzi aliyekuwa madarakani. DKT. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI.

Ukweli ktk msiba huu nimeamini Nchi za Kenya na Uganda ndio jirani na rafiki wa kweli wa Tanzania. Uhuru Kenyata alitangaza siku 7 za Maombolezo kwa taifa la Kenya. Yoweri Museveni na yeye Alitangaza siku 14 za maombolezo kwa wananchi wa Uganda. Uhuru Kenyata pia hakusita kufika Tanzania kutupa mkono wa pole.

Televisheni za Kenya ( KTN) na Televisheni ya Uganda ( UBC) zimekua zikiripoti taarifa za msiba kwenye taarifa zake za Habari.

Leo Dodoma kwenye Maombolezo ya kitaifa Televisheni za Uganda ( UBC) na Kenya ( KTN) zipo Mubashara kurusha matukio yote.
Ila Mwenzetu Rwanda ( RTV) yupo na mambo yake anayoyajua.

Ukweli utabaki wazi Kenya na Uganda ndio Marafiki na Ndugu wa Tanzania.

Wakenya nimewaheshimu sana.
 
Mbona kumtukana mwenzako?, uko na roho ya kishetani, wivu na chuki zimekushika kwa koo. Propaganda zimegandisha fikra zako. Uko

Mbona kumtukana mwenzako?, uko na roho ya kishetani, wivu na chuki zimekushika kwa koo. Propaganda zimegandisha fikra zako. Uko ovyo siku zote.
"Tatizo la Waafrika sio Mtu mweupe ni Waafrika wenyewe"
 
"Ukweli ktk msiba huu nimeamini Nchi za Kenya na Uganda ndio jirani na rafiki wa kweli wa Tanzania. Uhuru Kenyata alitangaza siku 7 za Maombolezo kwa taifa la Kenya. Yoweri Museveni na yeye Alitangaza siku 14 za maombolezo kwa wananchi wa Uganda."

Hata Rwanda mbona walitangaza maombolezo mpk atakapozikwa mkuu?
 
Tatizo watu wanafuata mambo ya Utani kwenye hii mitandao. Ukitoka nje ya Afrika Rafiki wa Mkenya ni Mtanzania & Vice versa.!! Kwa sababu wote wanaongea kiswahili
Ukisoma historia kwenye majanga Nchi hizi zimekua zikisaidiana.
Soma kwenye Historia "Kagera War 1978-1979 jinsi Kenya chini ya Rais Arap MOI ilipokataa ardhi yake kutumika na Askari wa Lybia waliokua wanashirikiana na Idd Amin kuishambulia Tanzania
 
Ingia kwenye TV za Rwanda uone hayo maombolezo? Hivi kweli Kagame ameshindwa kuja Tz kwenye Msiba? Uhuru na yeye angefanya hivyo je unahisi ingekua vizuri?
"Ukweli ktk msiba huu nimeamini Nchi za Kenya na Uganda ndio jirani na rafiki wa kweli wa Tanzania. Uhuru Kenyata alitangaza siku 7 za Maombolezo kwa taifa la Kenya. Yoweri Museveni na yeye Alitangaza siku 14 za maombolezo kwa wananchi wa Uganda."

Hata Rwanda mbona walitangaza maombolezo mpk atakapozikwa mkuu?
 
Tatizo watu wanafuata mambo ya Utani kwenye hii mitandao. Ukitoka nje ya Afrika Rafiki wa Mkenya ni Mtanzania & Vice versa.!! Kwa sababu wote wanaongea kiswahili
Ukisoma historia kwenye majanga Nchi hizi zimekua zikisaidiana.
Soma kwenye Historia "Kagera War 1978-1979 jinsi Kenya chini ya Rais Arap MOI ilipokataa ardhi yake kutumika na Askari wa Lybia waliokua wanashirikiana na Idd Amin kuishambulia Tanzania
leta evidence! najua dhamira inakusuta baada ya kuwafitinisha ugonjwa wa JPM kwa mawiki kadhaa!! Ikiwemo kuzuia mahindi ya Tanzania na Uganda kuingia Kenya!
 
Mimi siwezi kufanya argument na wewe kwa sababu uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana
Unaongolea mambo ya mtaani ndio umeyajaza kwenye Kifua na kukupa Nyongo.
leta evidence! najua dhamira inakusuta baada ya kuwfitinisha ugonjwa wa JPM kwa mawiki kadhaa!! Ikiwemo kuzuia mahindi ya Tanzania na Uganda kuingia Kenya!
 
Tatizo watu wanafuata mambo ya Utani kwenye hii mitandao. Ukitoka nje ya Afrika Rafiki wa Mkenya ni Mtanzania & Vice versa.!! Kwa sababu wote wanaongea kiswahili
Ukisoma historia kwenye majanga Nchi hizi zimekua zikisaidiana.
Soma kwenye Historia "Kagera War 1978-1979 jinsi Kenya chini ya Rais Arap MOI ilipokataa ardhi yake kutumika na Askari wa Lybia waliokua wanashirikiana na Idd Amin kuishambulia Tanzania
Rafiki wa kenya ni Tanzania sababu Tz kuna ustaarabu hata mwendawazimu Tz hawabagui, Lakini Tz kutokana na juhudi za nyerere ina marafiki wengi wa kufa kufaana..Sema Zambia, Zimbabwe, South Africa Msumbiji. Wengi tu
Kenya kwa sasa ina migogoro na kila nchi jirani yake.. Somalia, Uganda, ethiopia, south sudan etc.. Ni ustaarabu wa Tz ambao unafanya wakenya wajione marafiki wa Tz
 
Back
Top Bottom