komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Ugomvi ni nini?Wagombanao ndio kina nani? Tz haijawai gombana na kenya.. Ile siku kutakua na ugomvi nairobi itakuwa mikononi mwa JWTZ chini ya masaa sita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ugomvi ni nini?Wagombanao ndio kina nani? Tz haijawai gombana na kenya.. Ile siku kutakua na ugomvi nairobi itakuwa mikononi mwa JWTZ chini ya masaa sita
Wanafiki kweli[emoji23][emoji23][emoji23]Watu wanaongeleana mambo ya ndani basi km sio ndugu ni wanafamilia au marafiki wakaribu babu..
[emoji1787]
Hapa unapiga kelele lkn ahuru ansingelihudhuria km vile alivyofanya kagame, jf sai ingeliwaka moto
Tena wa hali ya juu, hapo yani wanaumwa lkn acha2...waliomba uhuru asihudhurie ndio wapate njia nzuri ya kusambaza propanga zaoWanafiki kweli[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna msemo wa Kiswahili usemao Rafiki/ Jirani wa kweli utamjua wakati wa shida. Tanzania imekua nchi ya kwanza kwa kuondokewa na Rais wake kipenzi aliyekuwa madarakani. DKT. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI.
Ukweli ktk msiba huu nimeamini Nchi za Kenya na Uganda ndio jirani na rafiki wa kweli wa Tanzania. Uhuru Kenyata alitangaza siku 7 za Maombolezo kwa taifa la Kenya. Yoweri Museveni na yeye Alitangaza siku 14 za maombolezo kwa wananchi wa Uganda. Uhuru Kenyata pia hakusita kufika Tanzania kutupa mkono wa pole.
Televisheni za Kenya ( KTN) na Televisheni ya Uganda ( UBC) zimekua zikiripoti taarifa za msiba kwenye taarifa zake za Habari.
Leo Dodoma kwenye Maombolezo ya kitaifa Televisheni za Uganda ( UBC) na Kenya ( KTN) zipo Mubashara kurusha matukio yote.
Ila Mwenzetu Rwanda ( RTV) yupo na mambo yake anayoyajua.
Ukweli utabaki wazi Kenya na Uganda ndio Marafiki na Ndugu wa Tanzania.
Wakenya nimewaheshimu sana.
Soma kauli ya mmoja wao., You have nailed it!Tatizo magufufuli baya lake moja ambalo kw leo nitakisema ingawaje km nitakua nawakosea munisamehe..
Jamaa kafanikiwa kuwafanya maskini waukumbatie umaskini huku wakijiaminishia matajiri wote wataporwa na kuwa maskini km wao..
Boss Tz & kenya are just neighbours, thats all, just like kenya and somalia.. Any semblance of Friendship is because of Tanzania's maturity and magnamity otherwise the relationship would be similar to the ones you have with somalia, ethiopia or south sudanWatu wanaongeleana mambo ya ndani basi km sio ndugu ni wanafamilia au marafiki wakaribu babu..
[emoji1787]
Hapa unapiga kelele lkn ahuru ansingelihudhuria km vile alivyofanya kagame, jf sai ingeliwaka moto
Huyu nani ka post mkuu nikajisomee mwnywe vizuri..Soma kauli ya mmoja wao., You have nailed it!
View attachment 1731670
View attachment 1731667
View attachment 1731668
Kingereza cha nini sasa, naona ukweli umekuingia sasa[emoji1787][emoji1787]Boss Tz & kenya are just neighbours, thats all, just like kenya and somalia.. Any semblance of Friendship is because of Tanzania's maturity and magnamity otherwise the relationship would be similar to the ones you have with somalia, ethiopia or south sudan
Ukiwa na sherehe au msiba, ustaarabu ni kiwaalika jirani na marafiki.. Watakao fika sawa watakao kosa sawa piaKingereza cha nini sasa, naona ukweli umekuingia sasa[emoji1787][emoji1787]
Mumeumbuka basi, uhuru kahudhuria sijui mtaambia nini watu
Nikuambie tu jamaa yangu na jirani yangu usiongee usichotambua watu wengi wameingua uchumi wao kupitia magufuliTatizo magufufuli baya lake moja ambalo kw leo nitakisema ingawaje km nitakua nawakosea munisamehe..
Jamaa kafanikiwa kuwafanya maskini waukumbatie umaskini huku wakijiaminishia matajiri wote wataporwa na kuwa maskini km wao..
Naona umeanza kupindisha pindisha wakati uhuru angekosa hapa ungekikua wa kwanza kueneza propanga mlizolishwaUkiwa na sherehe au msiba, ustaarabu ni kiwaalika jirani na marafiki.. Watakao fika sawa watakao kosa sawa pia
Acha unafki jamaaHuyu nani ka post mkuu nikajisomee mwnywe vizuri..
Manake naona kuna sehemu hapo kasema ukiangalia wengi ni maskini, sai wamenza kuogopa ya kwamba kuna watu watakua matajiri tena..
Kwhyo wanaogopa kubakia pekeyao[emoji1787][emoji1787]
Kweli km mtu humpendi ni balaa sana aisee
Ni mashetani kabisa sio roho za kichawi tuKenya mna roho ya kichawi!
Hata mimi nilimskia wa Rwanda amesema mpaka atakapozikwa"Ukweli ktk msiba huu nimeamini Nchi za Kenya na Uganda ndio jirani na rafiki wa kweli wa Tanzania. Uhuru Kenyata alitangaza siku 7 za Maombolezo kwa taifa la Kenya. Yoweri Museveni na yeye Alitangaza siku 14 za maombolezo kwa wananchi wa Uganda."
Hata Rwanda mbona walitangaza maombolezo mpk atakapozikwa mkuu?
Watakuja kwenye mazishi yeye na Muzeven na wa BurundiIngia kwenye TV za Rwanda uone hayo maombolezo? Hivi kweli Kagame ameshindwa kuja Tz kwenye Msiba? Uhuru na yeye angefanya hivyo je unahisi ingekua vizuri?
Uhuru ana shida ndio pia kwa magu kwake ilivyokuwa shida ipo kwa wale watu wa chini yao ndio wanaoeneza sumu kwenda tu ubalozini ingewezekana ikatosha tu kuonyesha ushilikiano lakini ilikuwa muhimu kuja kwa uhuru sio tu kwamba jumuiha bali ukanda wetu amna cha kupinga sisi ni ndugu wa jamii mojaNaona umeanza kupindisha pindisha wakati uhuru angekosa hapa ungekikua wa kwanza kueneza propanga mlizolishwa