Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Wakenya, wakenya hawana lugha ya umoja, wana modified swahili.kwan wakenya wameacha lugha yao
Waganda wana Luganda, ambayo kule kwao ndio kama kiswahili ( wanashare baadhi ya maneno na wahaya)
Halaf kuna kiswahili, kule kwao always itakuwa ni second language if not third