ArchAngel
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 4,513
- 3,757
Unaongeza mapato kwa kunyonga walipa kodi?Siku zote mapato ya Serikali yanatokana na "kodi" za wananchi. Hili pia ni wazo la kuongeza mapato hayo ya Serikali. Ni kweli ndiyo Serikali haina hela, na hela huwa hazijai.