Mkuu, D.Trump akitupatia vidonge vyetu tunalalamika!! Hivi Trump alisema nini kuhusu M7?
Yaani mambo mengine yanachekesha sana - nani ambea hajui kwamba M7 na mwenzake wana conflict of interest nchini Burundi ambazo ni so obvious, hawapashwi kuruhusiwa kujingiza kwenye masuala ya usuruhishi kwa kuwa ajenda zao za siri zinajulikana na hazijafa - wao wanauchukulia mgogoro huu kama ni a good omen ya kufanikisha kutumbukiza/lazimisha kusimika mteule wao nchini Burundi - 'am sure viongozi weledi Afrika wamekwisha ng'amua maigizo yao, kilichobaki wanawafanyia timing wanajua wapi pa kuwa corner na nullify njama zao hatarishi.
Tatizo kuu la M7 na mwenzake ni kujifanya ni ma wise men wanafikiri viongozi wengine Afrika hawana akili za kuwasoma kisaikolojia, mwaka jana/juzi karibu wamwingize mkenge U.Kenyatta kwa kujaribu ku draw a wedge kati ya Tanzania na Kenya - hivi sasa Kenyatta amekwisha washtukia anakwenda nao hivyo hivyo akili za kuambiwa hivi sasa anachanganya na za kwake, tatizo la Burundi nalo lina chochewa na mkondo huo huo wa kuwa instigated from without - we mtu ambae si Mrundi unakuwaje so overly concern na Nkuruzinza kuliko Warundi wenyewe, unakubali kupoteza ma mega calories kumsema sema ovyo kitu ambacho hata katibu mkuu wa UN hajawahi ku demonise kiongozi wa Burundi.
Ukijaribu kuchunguza kwa umakini unakuta mambo yote wanayo mushutumu Nkuruzinza wao ndio merchant of ... hapa wajifanya malaika kwa kuzuga watu tu, hawana molar Authority yoyote ya kusuruhisha mgogoro wa Burundi,kama wameshindwa kudhibiti waasi wanao toka Uganda na Rwanda kuvamia mara kwa mara Uvira/kivu DRC kwa baraka zao, leo hii wajifanya wana nia thabiti ya kusuruhisha mgogoro wa Burundi wasitake kudanganya watu.