nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Kusema tuna under perform hakuna ubishi...ni kweli tuna potentials ambazo tunaweza kuzitumia tukiwa more serious...
Lakini kutumia absolute figures na kusema sijui tuko nyuma ya Uganda ndio tunaona haiingii akilini...
Namshukuru mdau alokuja na figure za actual performance hapo juu...
Unajua kuwa critical ni kitu kizuri lakini uki criticize bila fact unafanya criticisms zako zisijenge...zaidi ya kuonekana ni nature yetu wananchi kulalamika tu...ikija kwenye suala la serikali hakuna jema...
Lakini kutumia absolute figures na kusema sijui tuko nyuma ya Uganda ndio tunaona haiingii akilini...
Namshukuru mdau alokuja na figure za actual performance hapo juu...
Unajua kuwa critical ni kitu kizuri lakini uki criticize bila fact unafanya criticisms zako zisijenge...zaidi ya kuonekana ni nature yetu wananchi kulalamika tu...ikija kwenye suala la serikali hakuna jema...
Lets just agree that Tanzania is under-performing and move on