Uganda yapitisha sheria mpya kukataza wanawake kuvaa nguo fupi

kbm

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
5,224
Reaction score
1,677
MAADILI UGANDA:Uvaaji vimini, kubaki nusu uchi sasa ni kuvunja sheria nchini humo, rais Museveni asaini sheria inayobana vitendo vya ngono vinavyoharibu maadili.
source: BBC
 
Taasisi ya Urais Uganda ni Taasisi ya mtu mmoja, ana uhuru wa kuendesha nchi atakavyo, sijashangaa kesho ikipitishwa amri ya kutotabasamu hadharani!
 
MAADILI UGANDA:Uvaaji vimini, kubaki nusu uchi sasa ni kuvunja sheria nchini humo, rais Museveni asaini sheria inayobana vitendo vya ngono vinavyoharibu maadili


mcl

Aje na huku amuambukize presida wetu hiyo sera. Keros sana. Natamani niendelee kuleta watoto KIUME Tuuu.
 
kuvaa tuvae sie roho ziwaume nyie. mtuache tupumue, hips na manyonyo yetu nayo yahitaji kupunga upepo.
 
Kweli tuna imani zetu za dini, lakini kama mtu atajiamulia kuvaa kimini, asikutie wasi/shaka afadhali angekuwa anatoka(mmojawapo) katika familia yenu sawa, hapo mnaweza kuingiliana mipaka, lakini sio mtu asiekuhusu
 
Taasisi ya Urais Uganda ni Taasisi ya mtu mmoja, ana uhuru wa kuendesha nchi atakavyo, sijashangaa kesho ikipitishwa amri ya kutotabasamu hadharani!

Labda, lakini hii ni sheria sio amri ya rais, imepitishwa na bunge! Pia walipitisha sheria ya adhabu ya kifo kwa mashoga Museveni akakataa kusaini.
 
kutetea vimin ni kutetea uzinzi na umalaya.unaanika uchi nje nje halafu mnalalamika "ooh wanaume wa kibongo sio waaminifu" ooh wanaume hawaliziki kabisa hata umfanyie kila kitu.

Tuache ubishi kuzaliwa mwanaume ni faida!!
 
Kwani kwetu si ipo? Ukimkonyeza demu bila ridhaa yake unaweza kufungwa miaka 30. Sheria zipo tu ila haziwahusu akina Kapuya. Zikifuatiliwa hata Presidaa anaweza pigwa mvua za kutosha .
 
Kweli tuna imani zetu za dini, lakini kama mtu atajiamulia kuvaa kimini, asikutie wasi/shaka afadhali angekuwa anatoka(mmojawapo) katika familia yenu sawa, hapo mnaweza kuingiliana mipaka, lakini sio mtu asiekuhusu


Acha ujinga wako hapa, jitahidi siku zingine mtu kuuficha ujinga wako usiuweke hadharani, hizo nguo za kulalia watu ndo wamefanya za kutembelea, nguo za CLUB za usiku ndo zimekuwa za kutokea, sema wewe ni limbukeni na haya mambo umeyaanza ukubwani ndio maana unaona raha. sasa nakwambia haya mavazi ni sawa na uchafu yanatia kinyaa kama vile mtu analamba usaha wa kidonda ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…