Uganda yapitisha sheria mpya kukataza wanawake kuvaa nguo fupi

Uganda yapitisha sheria mpya kukataza wanawake kuvaa nguo fupi

Naona Museveni na wenzake sasa must go,these people are not serious
 
MAADILI UGANDA:Uvaaji vimini, kubaki nusu uchi sasa ni kuvunja sheria nchini humo, rais Museveni asaini sheria inayobana vitendo vya ngono vinavyoharibu maadili


mcl

Kwa kweli mimi namsifu M7 kwa hili na suala la ushoga anavyoyashughulikia. Tanzania tuna cha kujifunza kwa hili kutoka kwa M7. Hii inaonesha siyo kila kitu tunachoiga toka kwa wazungu ni kizuri. Kusema kweli Tz tumezidi kwa kukosa maadili kuanzia mavazi hata matendo, na hasa kwa wanawake. Ndo maana inafikia wkt babu anatembea na mtoto mdogo kwa sababu watoto wa kike wanatembea uchi, matiti nje, babu ataacha vp kudindisha kama anayaona matiti yapo nje
 
nachukizwa mm yaan sheria hyo ikija Tz m nitakuwa kiongoz maana hawa wadada wanaleta kichefu chefu
 
Upumbavu kabisa huo.

Ndo nini sasa hiyo kupangiana mavazi?

Watu waachwe wavae wapendavyo.

Ila kama ni kweli basi hiyo sheria ni kandamizi.

Inakandamiza wanawake lakini sitashangaa kama wanawake ndo watakuwa mstari wa mbele katika kuiunga mkono.

Oh well....
 
hatimaye raisi wa uganda asaini mswaada juu ya sheria ya mavazi ya wanawake uganda. ambayo inazungumzia juu ya aina ya mavazi ya kuvaa.

sketi ambazo urefu wake hauja vuka goti ni marufuku kuzivaa, suruali zile mini jeans au tait zinazo shika mwili ni marufuku

ukija juu nguo yoyote itakayo kuwa inaacha mwili wazi ni marufuku.hakuna kuvaa nguo yoyote itakayo acha mabega wazi .hakuna kuvaa nguo yoyote itakayokuwa imeshika sana mwili.

na hata wasanii hakuna kuvaa nguo hizo sababu hadhira wao wamekuwa wanabezi zaidi kuwaangalia wao miili yao zaidi ya ujumbe wanao utoa.

kiukweli hapa kwa upande wangu nawapa BIG UP uganda.

kwa bongo mm naona tungeanza na wasanii woooote wa kila fani maana hawa ndio wamekuwa janga sana.

VIPI MPANGO WA VAZI LA TAIFA ULIISHIA WAPI??

source #EAST AFRICA RADIO
 
hii nimeipenda ila tatizo siyo kwa mwanaweke au wasichana tu, vipi hawa wanaume na vijana wa kiume wanaova suluari chini ya makalio???????????????????????????????????????? !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! miminasema big up Mseveni
 
Duh,jamaa kweli kadhamiria kuwapa displine,juzi kulikuwa na uzi humu"mseven kunyonga mashoga na wasagaji"leo vimini waonyeshe baba nchi inataka nidhamu kwa ajili ya vizazi vijavyo
 
hatimaye raisi wa uganda asaini mswaada juu ya sheria ya mavazi ya wanawake uganda. ambayo inazungumzia juu ya aina ya mavazi ya kuvaa.

sketi ambazo urefu wake hauja vuka goti ni marufuku kuzivaa, suruali zile mini jeans au tait zinazo shika mwili ni marufuku

ukija juu nguo yoyote itakayo kuwa inaacha mwili wazi ni marufuku.hakuna kuvaa nguo yoyote itakayo acha mabega wazi .hakuna kuvaa nguo yoyote itakayokuwa imeshika sana mwili.

na hata wasanii hakuna kuvaa nguo hizo sababu hadhira wao wamekuwa wanabezi zaidi kuwaangalia wao miili yao zaidi ya ujumbe wanao utoa.

kiukweli hapa kwa upande wangu nawapa BIG UP uganda.

kwa bongo mm naona tungeanza na wasanii woooote wa kila fani maana hawa ndio wamekuwa janga sana.

VIPI MPANGO WA VAZI LA TAIFA ULIISHIA WAPI??

source #EAST AFRICA RADIO

Vazi la Taifa Nchimbi aje atuambie na ile kamati yake ya kina Kusaga
 
...sheria ni nzuri lakini itakuwa na maana kama na utekerezaji wake nao utasimamiwa vizuri...
 
Moja ya sifa za kuwa baba ni pamoja na kutengeneza taratibu na sheria bora ndani ya familia yako na kuzisimamia utekelezwaji wake hata kama zitakua zinawaudhi majirani.
 
Screen-Shot-2014-02-19-at-8.03.41-AM.png


Taarifa ikufikie kwamba imepigwa marufuku kwa jinsia ya kike kuvaa nguo fupi (ki-mini) nchini Uganda na tayari Rais wa nchi hiyo Yoweri Museveni amesaini rasmi sheria hii.
Japokua baadhi ya Wabunge walipinga kwamba marufuku hii inaingilia uhuru wa mtu kuvaa, wabunge wengi wameunga mkono uamuzi huu.
Unaambiwa marufuku hii ambayo imelenga kuepusha vitendo vya ubakaji na ngono zembe kutokana na ushawishi unaotokana na uvaaji huu, inahusisha pia nguo nyingine fupi ambazo zinaacha sehemu kubwa ya mwili wazi kama vile kifuani.

Wanawake/Wasichana wataruhusiwa kuvaa mavazi mafupi kwenye matukio maalum tu yanayohusisha uvaaji huu kama vile michezo ambapo Waziri husika
Sheria hii pia inawabana Wanamuziki wa kike ambao wamekua wakivaa nguo fupi kwenye show zao pamoja na video ambapo Waziri Lokodo amesema ‘hatutaki uhusike kufanya watu wakutamani au watamani kufanya ngono, hatutaki ushawishi chochote kwa jinsia ya kiume, kuwa na tabia njema kwa kuvaa kiheshima’


Vilevile vyombo vya habari yakiwemo Magazeti na TV, vimepigwa marufuku kuonyesha picha za watu wakipigana busu au picha zozote za Wanawake wakiwa nusu uchi.


Natamani na Hapa Tz ije hii sheria

Chanzo Hapa


 
ikaja hapa tz wasichana watalia sana kwani wanavaa nguo fupi wanatangaza biashara zao za kuuza mwili
 
uonevu aiseee kama mtu kaamua kuvaa ww inakuuma nn!? kama amakuchukuzia na ww kamnunulie mkeo avae

#zitto
 
Labda, lakini hii ni sheria sio amri ya rais, imepitishwa na bunge! Pia walipitisha sheria ya adhabu ya kifo kwa mashoga Museveni akakataa kusaini.

au na yeye mchele mchele!?
 
Acha ujinga wako hapa, jitahidi siku zingine mtu kuuficha ujinga wako usiuweke hadharani, hizo nguo za kulalia watu ndo wamefanya za kutembelea, nguo za CLUB za usiku ndo zimekuwa za kutokea, sema wewe ni limbukeni na haya mambo umeyaanza ukubwani ndio maana unaona raha. sasa nakwambia haya mavazi ni sawa na uchafu yanatia kinyaa kama vile mtu analamba usaha wa kidonda ndugu

vipi mbona mkali sana mkuu?
 
Back
Top Bottom