CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
Tatizo hawajui kutofautisha mchana na usiku...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MAADILI UGANDA:Uvaaji vimini, kubaki nusu uchi sasa ni kuvunja sheria nchini humo, rais Museveni asaini sheria inayobana vitendo vya ngono vinavyoharibu maadili
mcl
hatimaye raisi wa uganda asaini mswaada juu ya sheria ya mavazi ya wanawake uganda. ambayo inazungumzia juu ya aina ya mavazi ya kuvaa.
sketi ambazo urefu wake hauja vuka goti ni marufuku kuzivaa, suruali zile mini jeans au tait zinazo shika mwili ni marufuku
ukija juu nguo yoyote itakayo kuwa inaacha mwili wazi ni marufuku.hakuna kuvaa nguo yoyote itakayo acha mabega wazi .hakuna kuvaa nguo yoyote itakayokuwa imeshika sana mwili.
na hata wasanii hakuna kuvaa nguo hizo sababu hadhira wao wamekuwa wanabezi zaidi kuwaangalia wao miili yao zaidi ya ujumbe wanao utoa.
kiukweli hapa kwa upande wangu nawapa BIG UP uganda.
kwa bongo mm naona tungeanza na wasanii woooote wa kila fani maana hawa ndio wamekuwa janga sana.
VIPI MPANGO WA VAZI LA TAIFA ULIISHIA WAPI??
source #EAST AFRICA RADIO

Sheria hii pia inawabana Wanamuziki wa kike ambao wamekua wakivaa nguo fupi kwenye show zao pamoja na video ambapo Waziri Lokodo amesema hatutaki uhusike kufanya watu wakutamani au watamani kufanya ngono, hatutaki ushawishi chochote kwa jinsia ya kiume, kuwa na tabia njema kwa kuvaa kiheshima

Labda, lakini hii ni sheria sio amri ya rais, imepitishwa na bunge! Pia walipitisha sheria ya adhabu ya kifo kwa mashoga Museveni akakataa kusaini.
Acha ujinga wako hapa, jitahidi siku zingine mtu kuuficha ujinga wako usiuweke hadharani, hizo nguo za kulalia watu ndo wamefanya za kutembelea, nguo za CLUB za usiku ndo zimekuwa za kutokea, sema wewe ni limbukeni na haya mambo umeyaanza ukubwani ndio maana unaona raha. sasa nakwambia haya mavazi ni sawa na uchafu yanatia kinyaa kama vile mtu analamba usaha wa kidonda ndugu