Uganda yapitisha sheria mpya kukataza wanawake kuvaa nguo fupi

Uganda yapitisha sheria mpya kukataza wanawake kuvaa nguo fupi

Acha ujinga wako hapa, jitahidi siku zingine mtu kuuficha ujinga wako usiuweke hadharani, hizo nguo za kulalia watu ndo wamefanya za kutembelea, nguo za CLUB za usiku ndo zimekuwa za kutokea, sema wewe ni limbukeni na haya mambo umeyaanza ukubwani ndio maana unaona raha. sasa nakwambia haya mavazi ni sawa na uchafu yanatia kinyaa kama vile mtu analamba usaha wa kidonda ndugu
Samahani kama nitakuwa nimekukosea, nilichojaribu kusema ni uhuru wa binaadamu, binaadamu wagumu sana kuingiliwa katika uhuru wao. Kama ni mwanangu wa kike nitajua namna ya kucheza nae, lakini kwa mtu wa nje ambaye ana akili zake timamu siwezi kumuingilia uhuru wake.

Samahani sana kama nitakuwa nimekuudhi
 
Taasisi ya Urais Uganda ni Taasisi ya mtu mmoja, ana uhuru wa kuendesha nchi atakavyo, sijashangaa kesho ikipitishwa amri ya kutotabasamu hadharani!

kwani hiyo ni sheria ya ajabu? mbona Milan mtu haruhusiwi kununa mtaani.kama wanapenda watafanya
 
MAADILI UGANDA:Uvaaji vimini, kubaki nusu uchi sasa ni kuvunja sheria nchini humo, rais Museveni asaini sheria inayobana vitendo vya ngono vinavyoharibu maadili


mcl
Mu 7 hapo poa. Wavae vitenge na magauni ama sivyo peleka jela.
 
sheria hii lazima iwahusu na wanaume,wanaovaa nusu uchi,vinginevyo,utakuwa mfumo dume kama sheria za waarabu
 
Hapa kwetu jk mwenyewe mpenda vimini,sasa ukisema vimini baaas utasababisha masaa ya kutembea iwe mwisho Saa tisa mkalale msione kinachoendelea nae.
 
Hiyo sheria itakuwa kwa baadhi ya maeneo

maana kuna maeneo ukitaka kuenjoy sharti ujiachie
 
MAADILI UGANDA:Uvaaji vimini, kubaki nusu uchi sasa ni kuvunja sheria nchini humo, rais Museveni asaini sheria inayobana vitendo vya ngono vinavyoharibu maadili


mcl

Anavyouwa wakongo,wizi,mauaji na ufisadi hivyo vyote havioni?? Kaona ujinga tu
 
Kweli tuna imani zetu za dini, lakini kama mtu atajiamulia kuvaa kimini, asikutie wasi/shaka afadhali angekuwa anatoka(mmojawapo) katika familia yenu sawa, hapo mnaweza kuingiliana mipaka, lakini sio mtu asiekuhusu

Una maana hata watu wakiwa nanafanya mapenzi mbele ya watoto waachwe tu, eti kwakuwa hayakuhusu!!
 
kutetea vimin ni kutetea uzinzi na umalaya.unaanika uchi nje nje halafu mnalalamika "ooh wanaume wa kibongo sio waaminifu" ooh wanaume hawaliziki kabisa hata umfanyie kila kitu.

Tuache ubishi kuzaliwa mwanaume ni faida!!

Bora umenena.
 
Acha ujinga wako hapa, jitahidi siku zingine mtu kuuficha ujinga wako usiuweke hadharani, hizo nguo za kulalia watu ndo wamefanya za kutembelea, nguo za CLUB za usiku ndo zimekuwa za kutokea, sema wewe ni limbukeni na haya mambo umeyaanza ukubwani ndio maana unaona raha. sasa nakwambia haya mavazi ni sawa na uchafu yanatia kinyaa kama vile mtu analamba usaha wa kidonda ndugu

Mwambie huyoo.
 
Una maana hata watu wakiwa nanafanya mapenzi mbele ya watoto waachwe tu, eti kwakuwa hayakuhusu!!
Nilijibu kutokana na hoja ilivyokuja, hakuna sehemu kwenye hii mada iliyosema "Una maana hata watu wakiwa nanafanya mapenzi mbele ya watoto waachwe tu, eti kwakuwa hayakuhusu"


Hakuna sehemu katika mada hii inaeleza kama nilivyokoza hapo juu
 
Museven nimemkubali aliposign sheria ya kuzuia ushoga ni mfano wa kuigwa hapa kwetu sijui itakuwaje??
 
[h=5][/h]


Anyone in Uganda found publicly exposing any part of his or her body in a manner deemed to be sexually arousing is liable for arrest after the signing into law of the Anti-Pornography bill.Uganda's Minister for Ethics & Integrity, Father Simon Lokodo, has confirmed that on 6th February, President Yoweri Museveni assented to the bill that will also see restrictions on media content that is put out both on broadcast and print media. These include [COLOR=#009900 !important]music videos, [COLOR=#009900 !important]movies[/COLOR] and content in magazines.

Uganda's President Yoweri Museveni signs law against wearing of mini skirts - YouTube
[/COLOR]
 
kwan nkvaa mm ukadndsha wew m itanhusu nn???mbna wavulana wana vaa kata ----- na boxer zao chafuuuuuuuuu nje nje...
 
Back
Top Bottom