Uganda yapitisha sheria mpya kukataza wanawake kuvaa nguo fupi

Inasemekana kum'bania jicho mwanamke ni kosa kisheria tanzania!
 
Acha kututukana,kwa hiyo we unaona wanawake kuonesha mapaja ndio welevu?acha ulimbukeni

Wewe na wenzako wote mnaounga mkono huo ujinga ni wapumbavu tu. Nguo zenyewe mmeletewa halafu leo eti mnajifanya sungusungu wa maadili. ------- wakubwa nyie.

Lakini kwa vile na mijanamke nayo inaona ni sawa, basi poa tu. Acha itungiwe sheria za kijinga jinga.

Na msiishie hapo. Tungeni na sheria za kujamba, kunuka vikwapa, na kucheua.
 
Wewe ni wale wanaofanya mapenzi na mabinti zao,mimi huwaita wauza mikundu.
 
UKIMWI unaanzia mwilini mwako na kuishia mwilini mwako humo humo, huwezi kumwambukiza mwingine wala mwingine yeyote hawezi kukuambukiza wewe UKIMWI.

Ahaaaa!!! Ok, basi vimini vinachangia maambukizi ya virusi vinavyo sababisha ukimwi!!
 
Bora yangu mie sivaagi hata vimini hata wakileta huku sitahangaikaa
 
Daaah walete na hapa bongo!!! Maana kitaa huku hali si hali!!
 

mi imejengeka kichwani mwangu kwamba waganda wanavaa nguo sinazo waacha nusu uchi tangu nianze kuangalia tv. kama sheria imechelewa hivi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…