Uganda yenye wagonjwa 33 yatangaza " lockdown" kwa siku 14, Kenya yenye wagonjwa 50 bado viongozi hawajui la kufanya

Uganda yenye wagonjwa 33 yatangaza " lockdown" kwa siku 14, Kenya yenye wagonjwa 50 bado viongozi hawajui la kufanya

Mbona hii haihitaji kuumiza akili kuelewa, watu wengi hukiuka mbinu zote na maagizo yote ya tahadhari usiku kuliko mchana. Kwa mfano daladala zote mchana watu wananawa mikono kabla kuingia, halafu kwenye viti mnakaa watu wachache tu, yaani askari mchana wanafuatilia kwa umakini sana kuhakikisha kila mtu anafuata maagizo, ila zikitimia usiku kwenye giza watu wanafanya yao, wengine wanajifungia kwenye vlabu vya pombe na kunywa kimya kimya.
Hivyo imewekwa kwamba zikitimia saa moja kila mtu awe kwake, hamna kurandaranda, leo nilikua nafanya mazoezi nikiwa narudi nikachelewa kama dakika tano, yaani nikafika kwangu 19:05pm, barabara yote ilikua tupu, aisei nilikua mwenyewe mpaka nikapata wasiwasi nitakamatwa.
Hata hapa karibu na napoishi, kabla hii curfew inanze, mchana mzima jamaa walikua wanashinda majumbani ...... lakini kuna club flani mbili nazo zijuua eti ziligeuza biashara na zikasema sasa zimekua restaurant na zinauzia watu chakula cha take-away pekee. Lakini ukirudi na usiku, ulikua unaruhusiwa kuingia huko ndani na wanakufungia mlango, ukifika huko ndani jamaa wameweka meza hadi kwa dance floor wanakunywa bia pole pole wakipiga story bila mziki wowote...
 
Nimekuambia wenye kugundulika na maambukizi hawapekekwi Hospitalini badala yake wanawekwa katika sehemu "Isolation unit", hapo sio Hospitalini ni sehemu tu ya kuwatenga na kuwafuatilia, hapapaswi kuwa na hizo mobile X-ray anazodai Mbowe.

Lengo la iIsolation unit ni kuwatenga wenye Corona virus na kuwafuatilia hali zao, yule atakayeonyesha dalili za kushindwa kupumua na complications zingine ndioa anahamishiwa ICU.

Wagonjwa wetu wote wa Tanzania wanaendelea vizuri sana ukiacha yule aliyekufa ambaye alifia ICU, sasa huyu Mbowe anayetaka Isolation unit kupelekwe mobile X-ray anatumia muongozo upi?

Kenya lazima mjifunze kwa watu wanaofanikiwa kupambana na hivi virusi, mkiendelea na ubishi wenu mtakwisha, Corona sio utani, tayari imeshawazidi nguvu, nafuu sisi bado tunapambana na kuna matumaini tutapunguza kasi ya maambukizi kwa kiwango kikubwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
wacha kuwa juha na hakuna chohote unachojua kando na kuimba mapambio. Mtoto was mbowe anaugua corona kwa hivyo madaktari wanafaa kuwa wakitibu symptoms na sio kumuweka isolation wakingoja ashindwe kupumua wampeleke ICU. mbowe amesema mwanawe amekuwa akikohowa kwa siku kumi, hajapewa hata dawa ya kutibu kikohozi, corona ina athari tofauti tofauti na hizo ndizo zinazotibiwa ili mgonjwa asizorote na kufariki.
Tanzania lazima mkubali mapungufu ili muweze kurekebisha.
 
Hata hapa karibu na napoishi, kabla hii curfew inanze, mchana mzima jamaa walikua wanashinda majumbani ...... lakini kuna club flani mbili nazo zijuua eti ziligeuza biashara na zikasema sasa zimekua restaurant na zinauzia watu chakula cha take-away pekee. Lakini ukirudi na usiku, ulikua unaruhusiwa kuingia huko ndani na wanakufungia mlango, ukifika huko ndani jamaa wameweka meza hadi kwa dance floor wanakunywa bia pole pole wakipiga story bila mziki wowote...

Sema hii Corona has changed our way of life, ndio mara yangu ya kwanza kuona walevi wanakunywa pombe bila makelele.
 
wacha kuwa juha na hakuna chohote unachojua kando na kuimba mapambio. Mtoto was mbowe anaugua corona kwa hivyo madaktari wanafaa kuwa wakitibu symptoms na sio kumuweka isolation wakingoja ashindwe kupumua wampeleke ICU. mbowe amesema mwanawe amekuwa akikohowa kwa siku kumi, hajapewa hata dawa ya kutibu kikohozi, corona ina athari tofauti tofauti na hizo ndizo zinazotibiwa ili mgonjwa asizorote na kufariki.
Tanzania lazima mkubali mapungufu ili muweze kurekebisha.
Acha ujinga, juzi mwana FA aliojiwa moja kwa moja na jeff Koinange, ni matumaini yangu ulimsikia vizuri akielezea mambo na huduma wanazopewa wakiwa huko "Isolation uniti", Salama SK amezengumza, yule mgonjwa kule Arusha amezungumza pia.

Kifupu, huko katika " Isolations units" kuna madaktari na manesi 24/7, kwasababu afya za hawa watu zinaweza kubadilika wakati wowote.

Kati ya Wagonjwa 19 wote wanasema wanapata huduma nzuri sana, ila ni mtoto wa Mbowe tu ndiye ambaye hapati hizo huduma. Hata kabla ya mtoto wake kupata maambukizi, tayari alikua akiishutimu serikali, tumemzoea huyo.

Ila anapaswa kushitakiwa kwa kitendo chake cha kutokua makini na kuhatarisha watanzania, hovyo sana huyo jamaa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ujinga, juzi mwana FA aliojiwa moja kwa moja na jeff Koinange, ni matumaini yangu ulimsikia vizuri akielezea mambo na huduma wanazopewa wakiwa huko "Isolation uniti", Salama SK amezengumza, yule mgonjwa kule Arusha amezungumza pia.

Kifupu, huko katika " Isolations units" kuna madaktari na manesi 24/7, kwasababu afya za hawa watu zinaweza kubadilika wakati wowote.

Kati ya Wagonjwa 19 wote wanasema wanapata huduma nzuri sana, ila ni mtoto wa Mbowe tu ndiye ambaye hapati hizo huduma. Hata kabla ya mtoto wake kupata maambukizi, tayari alikua akiishutimu serikali, tumemzoea huyo.

Ila anapaswa kushitakiwa kwa kitendo chake cha kutokua makini na kuhatarisha watanzania, hovyo sana huyo jamaa.


Sent using Jamii Forums mobile app
aaah, kama kawaida ni ccm vs upinzani!

hata hivyo hujajibu hoja ila kumlimbikizia mbowe makosa.
 
aaah, kama kawaida ni ccm vs upinzani!

hata hivyo hujajibu hoja ila kumlimbikizia mbowe makosa.
Jibu ni kwamba, kati ya Wagonjwa 18, mmoja anasema hapati huduma, 17 wanasema wanahudumiwa vizuri:

Note: Mbowe anapaswa kushitakiwa akimaliza kipindi chake cha karantini Kw kosea la uzembe na kuhatarisha maisha ya watanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Am just wondering why Tanzanians are obsessed with Kenya .
 
The best Hospital in the region is Mloganzila in Tanzania, stop your nonsense

Sent using Jamii Forums mobile app
In kenya that is a level 5 hospital in kenya. 570 beds to get to level 6A like kenyatta national hospital in kenya you must have at least 800+ bed capacity with at minimum 30 ICU beds , You must have an attachment to a university of known reputation eg UON, at least 1000 nurses at minimum, at least 500 clinical officers, an attached research centre of known repute eg Kemri etc. What you have bragged about is a level 5 hospital in kenya to be managed by county governments not national government.It has 570 beds and it has 1 ICU bed.
 
In kenya that is a level 5 hospital in kenya. 570 beds to get to level 6A like kenyatta national hospital in kenya you must have at least 800+ bed capacity with at minimum 30 ICU beds , You must have an attachment to a university of known reputation eg UON, at least 1000 nurses at minimum, at least 500 clinical officers, an attached research centre of known repute eg Kemri etc. What you have bragged about is a level 5 hospital in kenya to be managed by county governments not national government.It has 570 beds and it has 1 ICU bed.
The best Hospital is the one which has up to date machines and medical equipments capable to perform complicated micro procedures, not based on number of beds and number of medical personnel.

At Mloganzila we do
1)Cochlear implant
2)Liver and Bone marrow transplants

Which among those very advanced procedures above can any of your public Hospitals can perform, if none then you are ten years behind us.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
America has over 140,000 cases and no lock down. You can not shutdown the whole economic engine of a country.After this the economy still needs to continue that is why World bank and CBK have projected a slower growth for kenya of around 3% - 4% in 2020 while the rest of african countries who are in a lockdown might stagnate and not record growth worth talking about eg. south africa has now been graded as junk on all financial ratings institutions and their economy is set to contract by 2% this year.

We have experience from our doctors who went to help in fighting ebola, also we have the best research facilities in the region. Kenya is also using this time to grow manufacturing of medical equipment, with General electric confirming set up of a manufacturing facility for ventilators and other companies already ramping up production of surgical and respiratory masks.Do not worry after this is over we will supply you all in the region with these equipment.
Also kenya has the highest number of ICU(Intensive care unit) and HDU(high dependency unit) beds in the region totalling slightly over 1000 beds. These are critical to help in the management of patients with severe symptoms.

Tanzania has only about 55 ICU beds bringing a ratio of 1.2 ICU beds per 1 million people and uganda has a ratio of 1 ICU bed per 1 million people. Problem is you people depend on government while kenya has a mixture of big private hospitals and big government hospitals(level 6+) and many level 5 private hospitals and about 40 level 5 county government hospitals
Mmmhhh jamaa umetupiga rungu kenya ina ICU zaidi ya 1000???!!!????????...ebu leta uthibitisho nifunge akaunti ya jf
 
The best Hospital is the one which has up to date machines and medical equipments capable to perform complicated micro procedures, not based on number of beds and number of medical personnel.

At Mloganzila we do
1)Cochlear implant
2)Liver and Bone marrow transplants

Which among those very advanced procedures above can any of your public Hospitals can perform, if none then you are ten years behind us.


Sent using Jamii Forums mobile app
Actually KNH has been doing liver transplants for years, in fact it was the third hospital in sub saharan africa to do that and the first in east africa, that was in 2014. I am surprised you never had that in Tanzania? Actually they do not do liver transplants in Tanzania, you send patients to India and KNH not because of price but lack of expertise. On 29nth November 2017 you sent a team of doctors to India to train on liver transplants but like your ilk of Tanzanians, they are too thick to incorporate knowledge. The only transplant done at MNH is kidney which your media termed as "Historic" (Laughable in kenya) of course that is by Tanzania's standards. In Kenya kidney transplants, heart surgeries and brain surgerie are done even in county government level 5 hospitals eg Machakos County Hospital
Muhimbili now eyes liver transplants ‘revolution’ (2017)
Tanzanian man’s liver saves his 4-month-old son | Mumbai News - Times of India (2018)
(2015).
Get a life and stop bragging about things that are very normal in Kenya. Read get your facts right then come back and we can talk.
 
Research just like I get information about your country, it is easy since Kenya is more open. Germany has the largest number of ICU beds in europe at 28,000. Go and read
Mmmhhh jamaa umetupiga rungu kenya ina ICU zaidi ya 1000???!!!????????...ebu leta uthibitisho nifunge akaunti ya jf
 
The best Hospital is the one which has up to date machines and medical equipments capable to perform complicated micro procedures, not based on number of beds and number of medical personnel.

At Mloganzila we do
1)Cochlear implant
2)Liver and Bone marrow transplants

Which among those very advanced procedures above can any of your public Hospitals can perform, if none then you are ten years behind us.


Sent using Jamii Forums mobile app
By the way kenya is also the first country in the region to do eye stem cell transplants to cure blindness caused by accidents. We have been doing it for over 1 year now and the only country in east africa where you can get that surgery is in kenya.
 
Research just like I get information about your country, it is easy since Kenya is more open. Germany has the largest number of ICU beds in europe at 28,000. Go and read
Acha uongo,unadhani kuna mtu unaweza kumdanganya hapa
 
Back
Top Bottom