Acha ujinga, juzi mwana FA aliojiwa moja kwa moja na jeff Koinange, ni matumaini yangu ulimsikia vizuri akielezea mambo na huduma wanazopewa wakiwa huko "Isolation uniti", Salama SK amezengumza, yule mgonjwa kule Arusha amezungumza pia.
Kifupu, huko katika " Isolations units" kuna madaktari na manesi 24/7, kwasababu afya za hawa watu zinaweza kubadilika wakati wowote.
Kati ya Wagonjwa 19 wote wanasema wanapata huduma nzuri sana, ila ni mtoto wa Mbowe tu ndiye ambaye hapati hizo huduma. Hata kabla ya mtoto wake kupata maambukizi, tayari alikua akiishutimu serikali, tumemzoea huyo.
Ila anapaswa kushitakiwa kwa kitendo chake cha kutokua makini na kuhatarisha watanzania, hovyo sana huyo jamaa.
Sent using
Jamii Forums mobile app