Uganda yenye wagonjwa 33 yatangaza " lockdown" kwa siku 14, Kenya yenye wagonjwa 50 bado viongozi hawajui la kufanya

Uganda yenye wagonjwa 33 yatangaza " lockdown" kwa siku 14, Kenya yenye wagonjwa 50 bado viongozi hawajui la kufanya

Umeona anachokifanya Kagame?. Kenya ikiamua kutoa amri kwa miji hiyo mitatu yenye wagonjwa wengi, yaani Nairobi, Mombasa na Kilifi, kwakutumia hiyo nusu ya National reserve yao, yaani $4B, wanaweza kuwahudumia watu wote wanaoishi katika miji hiyo kwa chakula na mahitaji mengine ya kibinadamu kwa mwezi mmoja bila hata kumaliza $1B.

kumbuka, watapewa mahitaji ya kawaida sana, Unga wa sembe, Maharage, Mafuta. Chumvi na huduma za maji na matibabu, atakayetaka zaidi ya hapo atajinunulia mwenyewe, Rwanda wanaweza, vipi Kenya washindwe?, hawa ni failed state aisee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni Economics ya Tandale au?😂😂...do you know the use of forex reserves.
 
Umeona anachokifanya Kagame?. Kenya ikiamua kutoa amri kwa miji hiyo mitatu yenye wagonjwa wengi, yaani Nairobi, Mombasa na Kilifi, kwakutumia hiyo nusu ya National reserve yao, yaani $4B, wanaweza kuwahudumia watu wote wanaoishi katika miji hiyo kwa chakula na mahitaji mengine ya kibinadamu kwa mwezi mmoja bila hata kumaliza $1B.

kumbuka, watapewa mahitaji ya kawaida sana, Unga wa sembe, Maharage, Mafuta. Chumvi na huduma za maji na matibabu, atakayetaka zaidi ya hapo atajinunulia mwenyewe, Rwanda wanaweza, vipi Kenya washindwe?, hawa ni failed state aisee.

Sent using Jamii Forums mobile app

Vijana wa HKL mnapojitutumia kuongelea mambo ya Economics ni tabu sana
 
I
In the same Spirit we can comfortably say that Burundi has the most advanced health system in EastAfrica [emoji23][emoji23]
Tanzania 19
Burundi. 0
What is important is to win the war, if you defeated, then your advanced and sophisticated weapons doesn't make any sense.

Winning needs more than weapons and advanced technology, you needs people who can make decisions on when to strike, and strategies. Burundi might not have the best health system, but they have people and strategies which work better in accordance with their economy, location and their current political atmosphere.

In nutshell, Burundi is well prepared than all of us.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
According to some retards here Tanzania have the best health system and they have contained Corona virus simply because they have fewer confirmed cases.
Yani your benchmark is always Kenya😂
Using the same logic ,here are some countries with the best health systems in the world.

Tanzania 19
Malawi 0
Somalia 2
Chad 3
Liberia 3
Central Africa Republic 3
 
What is important is to win the war, if you defeated, then your advanced and sophisticated weapons doesn't make any sense.

Winning needs more than weapons and advanced technology, you needs people who can make decisions on when to strike, and strategies. Burundi might not have the best health system, but they have people and strategies which work better in accordance with their economy, location and their current political atmosphere.

In nutshell, Burundi is well prepared than all of us.

Sent using Jamii Forums mobile app
I don't get your logic.You must be a retard......so now Burundi is even better prepared than Tanzania ,Kenya ,Singapore etc simply because they have zero cases.I hope Singaporean authorities will come to benchmark on Burundi advanced health system.
 
According to some retards here Tanzania have the best health system and they have contained Corona virus simply because they have fewer confirmed cases.
Yani your benchmark is always Kenya[emoji23]
Using the same logic here are some countries with the best health systems in the world.

Tanzania 19
Malawi 0
Somalia 2
Chad 3
Liberia 3
Central Africa Republic 3
I repeat, stop yapping that you have better weapons but you loose better on the ground. Unless otherwise we get more information on why these country have lower number of infection, you shall have nor reason to believe that they are much prepared than Tanzania.

Don't judge based on your head, just because they are poor, then you think they are hopeless. Though I may have some idea why they have lower number compared to Tanzania, but unless those reason are proven to be true, for now what we can say, they are better prepared than Tanzania. Why don't you mention Botswana?[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I don't get your logic.You must be a retard......so now Burundi is even better prepared than Tanzania ,Kenya ,Singapore etc simply because they have zero cases.I hope Singaporean authorities will come to benchmark on Burundi advanced health system.
I have Mentioned things like" in accordance to their location, political, and Economic situation. If you are clever enough, you would understand what I mean. Burundi is under sanctions, that means nor many visitors if you compare with Singapore and Malaysia.

Each country has got different challenges therefore must come with different strategies to fit their challenges, what is important is to win the battle, not to come out with excuses while people are dying.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I repeat, stop yapping that you have better weapons but you loose better on the ground. Unless otherwise we get more information on why these country have lower number of infection, you shall have nor reason to believe that they are much prepared than Tanzania.

Don't judge based on your head, just because they are poor, then you think they are hopeless. Though I may have some idea why they have lower number compared to Tanzania, but unless those reason are proven to be true, for now what we can say, they are better prepared than Tanzania. Why don't you mention Botswana?[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
No one said Kenya is better prepared or even anything close to that Infact Kenyans on this forum are just saying what the government is doing .You are the one yapping about how Tanzania is the best prepared EastAfrican country .😂😂
 
I have Mentioned things like" in accordance to their location, political, and Economic situation. If you are clever enough, you would understand what I mean. Burundi is under sanctions, that means nor many visitors if you compare with Singapore and Malaysia.

Each country has got different challenges therefore must come with different strategies to fit their challenges, what is important is to win the battle, not to come out with excuses while people are dying.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika Ujinga mtupu wacha kuchange goal post.
 
Since Tanzania is the best prepared country in EastAfrica I would like to know if they have internal capacity to manufacturer Oxygen respirators or even N95 mask.
btw how many ICU beds are in Tanzania.?
 
Akili za watu hapa ni finyu kweli. A lock down can as well mean throwing in the towel. Low numbers is not a measure of preparedness, can even mean luck. Other countries have recorded less infections due to other factors like having less traffic to the outside world etc. Kenyans got a robust diaspora population compared to the rest of its peers in East and central Africa. That tells you that the more people come in from diaspora the higher the chances of enhancing a local transmission!..
 
No one said Kenya is better prepared or even anything close to that Infact Kenyans on this forum are just saying what the government is doing .You are the one yapping about how Tanzania is the best prepared EastAfrican country .[emoji23][emoji23]
Hahahaha, husikii mwenzenu anapiga kelele kwamba Kenya wagonjwa ni wengi kuliko Tanzania kwasababu Kenya inazo laboratories nyingi kuliko Tanzania kwahiyo inapima wagonjwa wengi zaidi?, kwamba Tanzania inawagonjwa wengi lakini haina uwezo wa kupima kwa wingi kama Kenya?.

Haya majigambo yenu yasiyokua na msingi wowote ndio yanayosababisha tuwacheke na kuwakebehi, ninauhakika mara tu idadi ya wagonjwa Tanzania itakapozidi ile ya Kenya, hii sababu ya uwezo wa kupima itakwisha na mtakuja na sababu nyingine, kwamba "Kenya is better prepared than Tanzania, that's why number of infections is lower", ninyi ni watu msiokubali kushindwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnawasha washwa sana na hii nchi ya Kenya. Wakati kwenye nchi yenu hamna cha maana mlichofanikisha, isipokuwa usanii wa rais wenu kupigwa picha akiota jua juu ya miamba na kunywa kahawa. Yaani mnaowasema kwamba wamechanganyikiwa waziri wao anatoa updates kila jioni. Rais U.K. amepunguza ushuru kwenye sekta mbali mbali, watumishi wa umma kwenye gazi za juu wamepunguziwa mishahara kwa 80%. Magari ya usafiri wa umma yanabebea abiri kwa 70% ya uwezo wao. Dawa zinapulizwa kote mijini, sabuni na sanitizer za kugawa bure kwa wananchi zinaendelea kutengenezwa kwa wingi viwandani. Shughuli ya kupima kwa mkupuo ilianza jana na watu 2,050 wakapimwa, mask wataanza kuzisambaza bure. Nguo maalum za kujikinga zimeanza kutengenezewa hapa hapa Kenya. Serikali nayo imeanza kuongeza stock kwenye reserves za vyakula. Sehemu za karantini zipo kwenye kila gatuzi, kits za kupima ni 20,000 kufikia sasa. Kwa taarifa yako agizo limepeanwa jana la kuzuia usafiri kutoka kwa gatuzi moja hadi lingine.
Nasikua kule kwao kuna maabara moja inayoshugulikia Tanganyika na Zanzibar combined! And interestingly someone is still obsessed with Kenya
 
Back
Top Bottom