Kama mnakumbuka Manara alipokuwa Simba aliwahi kusema Simba itachukua ligi kuu 10 years back to back. Jeuri ile ilitokana na mganga ambaye aliletwa na Manara. Na wakati ule Simba pia walikuwa wakitoa misaada kila wanapoenda kucheza mechi. Baada ya kufukuzwa Simba na kwenda Yanga Manara alihama na mganga huyo ndio maana unaona utamaduni wa misaada umehamia upande wa pili.