Uganga wa Mshana Jr. unapofeli; Yanga 1 Simba 0

Uganga wa Mshana Jr. unapofeli; Yanga 1 Simba 0

Ama kwa uhakika mkuu Mshana jr leo umetuangusha bhana.

Baada ya kukusoma katika ule uzi wa Bawacha pale Mlimani City kwamba leo Mnyama hapakatwi bali anauwa, si ndio nikaagiza bia zangu kusherehekea ushindi lakini yaliyojiri wewe mwenyewe umeyashuhudia.

Kamanda mshana jr leo umeniangusha!
waganga wa CCM hamna kitu kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ama kwa uhakika mkuu Mshana jr leo umetuangusha bhana.

Baada ya kukusoma katika ule uzi wa Bawacha pale Mlimani City kwamba leo Mnyama hapakatwi bali anauwa, si ndio nikaagiza bia zangu kusherehekea ushindi lakini yaliyojiri wewe mwenyewe umeyashuhudia.

Kamanda mshana jr leo umeniangusha!
Mpira unadunda kaka
 
FB_IMG_1583738072818.jpg
 
Back
Top Bottom