Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 593
- 1,376
🤔🤔🤔 kila unacholeta hapa ni lazima uwe na msimamo nacho? Inaitwa kuhabarishana, huwezi kujua taarifa hii inaweza kukusaidia kufanya maamuzi siku kuhusu Ugiriki. Kunywa chai upunguze hasiraNaona hii topiki imekupendeza sana hadi unaiweka humu ili watu waielewe.
Hongera zako.
Kweli kanisa limepinga ila wagiriki siyo wote Wakristo, wa dini nyingine wanasemaje? Wakatoliki tumejua msimamo wao watawabariki.ila bora hawa kanisa lao linapinga shida ni huku kwa papa
ugiriki asilimia kubwa ni wa orthodox ,,,,wa dini nyingine ni sehemu ndogo sana nahisi wanapitwa hata na wasio amini dini ndani ya hio nchiKweli kanisa limepinga ila wagiriki siyo wote Wakristo, wa dini nyingine wanasemaje? Wakatoliki tumejua msimamo wao watawabariki.
Kwahiyo hii topiki inatusaidia nini sisi wasomaji?[emoji848][emoji848][emoji848] kila unacholeta hapa ni lazima uwe na msimamo nacho? Inaitwa kuhabarishana, huwezi kujua taarifa hii inaweza kukusaidia kufanya maamuzi siku kuhusu Ugiriki. Kunywa chai upunguze hasira
Uliwahi kusikia au kusoma mahala Kanisa Katoliki likikubaliana na ndoa za jinsia moja?ila bora hawa kanisa lao linapinga shida ni huku kwa papa
Ulishawahi soma sehemu wakristo mmekataa kubarikiwa?Uliwahi kusikia au kusoma mahala Kanisa Katoliki likikubaliana na ndoa za jinsia moja?
WAMEJIPATAWagiriki namna gani tena!
Kwa hiyo wewe kwako kubarikiwa ni dhambi. Mnapoomba baraka kumbe huwa mnatenda dhambi?Ulishawahi soma sehemu wakristo mmekataa kubarikiwa?
Nenda ukapokee baraka acha hizi kelele hazitasaidia kitu
Au ushabarikiwa tayari? [emoji848]
Baraka kuombwa ni siri ya mtu na MunguKwa hiyo wewe kwako kubarikiwa mi dhambi. Mnapoomba baraka kumbe huwa mmatenda dhambi?
hahahaaaaNaona hii topiki imekupendeza sana hadi unaiweka humu ili watu waielewe.
Hongera zako.