Ugiriki yahalalisha ndoa za wapenzi wa jinsia moja

Ugiriki yahalalisha ndoa za wapenzi wa jinsia moja

[emoji848][emoji848][emoji848] kila unacholeta hapa ni lazima uwe na msimamo nacho? Inaitwa kuhabarishana, huwezi kujua taarifa hii inaweza kukusaidia kufanya maamuzi siku kuhusu Ugiriki. Kunywa chai upunguze hasira
mwafrika kichwan mtupu ,muda wote anawaza ushabiki
 
Uliwahi kusikia au kusoma mahala Kanisa Katoliki likikubaliana na ndoa za jinsia moja?
Hawana habari hata za hizo baraka,,,bora katoliki ya mashariki kuliko hii katoliki ya warumi ushetani mtupu
 
Baraka kuombwa ni siri ya mtu na Mungu
Nyie mnabariki vyakula yaani chakula kinakuja unakipa baraka
Linakuja jamaa huko na mmewe mwanaume mwenzie ama mkewe mwanamke mwenzie munatoa baraka zakutosja
Ukristo ni upotovu na upotoshaji mkubwa kwa hakika
Unaijua style ya Mbuzi Kagoma? Inakuwaje inapotokea watu tena wanaume wanajitenga kwa hiyo style ya mbuzi kagoma au Chuma mboga?
 
Naona hii topiki imekupendeza sana hadi unaiweka humu ili watu waielewe.
Hongera zako.
Huwa nashangaa sana, habari kama hizi zimapewa mileage sana
Hatupendi ila tunalazimishwa tujue
Sasa yanatusaidia nini kwa mfano
Si bora ya Ethiopia kupiga marufuku magari ya mafuta
 
Ugiriki imekuwa nchi ya kwanza yenye Wakristo wengi wa Orthodox kuhalalisha ndoa za watu wa jinsia moja.

Wapenzi wa jinsia moja sasa pia wataruhusiwa kisheria kuasili watoto baada ya kura ya Alhamisi.

Waziri Mkuu wa Ugiriki Kyriakos Mitsotakis alisema sheria hiyo mpya "itakomesha kwa nguvu ukosefu mkubwa wa usawa".

Lakini sheria hiyo imegawanya nchi, huku upinzani mkali ukiongozwa na Kanisa la Othodoksi la Ugiriki lenye nguvu.
wamepiga hatua kubwa na mbaya sana ya ufirauni, uchafu na uharibifu. Ni chikizo machoni pa Mungu 🐒

watachapwa kiboko kingine na Mungu soon. Wanaamsha ghadhabu ya Mungu kwa Lazima 🐒


waliwahi kuchapwa kiboko wakafilisika kiuchumi, wakulilia ulimwengu na kusaga meno sana na bado tena wanachokoza na kuamsha hasira za Mungu kwa hiyo chafu?🐒



R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
Kwahiyo hii topiki inatusaidia nini sisi wasomaji?
Unataka tu upoteze muda wangu kubishana mambo ya kijinga, tayari umejua nchi hiyo mlengo wako ukoje, ukibahatika kwenda nchi hiyo siku moja utajua ni cha kufanya au kutofanya ukiwa huko, umeshajua tayari kama ni sehemu inakufaa kwenda au lah kutokana na misimamo yako, wanadiplomasia watajua nchi hiyo wanaenda nayo vipi kutokana na mahusiano yao na nchi hiyo.

Kama wewe haifanyi chochote kwako piga kimya tu mkuu angalia mambo mengine jukwaani
 
Kwa hiyo Papa alikwambia anawaandaa? Hao Mashoga na si wanatokea huko kwenye familia zenu mnazoishi? Ninyi wanajamii mlipoamua kuwa mashoga na kuzalisha mashoga na kuishi nao ni mani aliyewaandaeni?
Kama wanajamii ndiyo mmezalisha watu wa aina hiyo, na mnaendelea kuwatengeneza kwa wingi halafu lawama mnataka muwatupie watu wanaotetea uhai ndani yao? Mashoga wapo haya tuambie wewe, umewafanya nini hao mashoga huko mtaani kwenu?
Una lalamika, una shutumu, una chamba au una tetea ? Sielewi upo kundi gani kwa hivi ulivyo andika
 
Jitu zima ubakojolewa makalioni

Na wee jitu zima unakojolea mwanaume mwezio kalio


Blalfull
 
Ugiriki, siku ya Alhamisi imekuwa nchi ya kwanza ya kikristo wa ki-Orthodox kuhalalisha ndoa za watu wa jinsia moja - wakati mgumu kwa jumuiya ya LGBTQ ya nchi hiyo, jumuiya ambayo kwa muda mrefu imekuwa ikipigania kuonekana na haki katika kivuli cha kanisa la Ugiriki lenye ushawishi mkubwa.

Mswada huo pia unaruhusu wapenzi wa jinsia moja kuasili watoto na kutoa haki kamili za mzazi kwa wenzi waliooana, ingawa mswada umekataa kuruhusu wapenzi wa jinsia moja kuwa wazazi kwa njia ya kupandikiza mbegu kwa wanawake wengine wawazalie (surrogacy) , kizuizi ambacho kimesababisha ukosoaji kutoka kwa vikundi vya kutetea haki za binadamu.

Waziri Mkuu wa Ugiriki Kyriakos Mitsotakis alisema kwenye mitandao ya kijamii kwamba Ugiriki "inajivunia kuwa Nchi ya 16 katika Jumuiya ya umoja wa ulaya kutunga sheria ya usawa wa ndoa.” Aliita hatua hiyo "hatua muhimu kwa haki za binadamu, ikionyesha Ugiriki ya leo - nchi inayoendelea, na ya kidemokrasia, iliyojitolea kwa maadili ya Ulaya."

Kura ya Alhamisi ilivuka mipaka ya vyama, huku wabunge 176 kati ya 300 katika Bunge la Hellenic wakipiga kura kuunga mkono hatua hiyo. Sabini na sita walikataa mswada huo, wawili hawakupiga kura na 46 hawakuwepo.

Mabadiliko hayo yanakuja licha ya upinzani mkali kutoka kwa kanisa la Ugiriki linalozingatia masuala ya kijamii, ambalo mwaka jana lilitoa taarifa ikisema kwamba ndoa za watu wa jinsia moja hazifuati mfumo wa kitamaduni wa familia na kwamba watoto si mifugo kwa mtu yeyote anayetaka kujisikia kama mlezi, na kuamua kuwalea. Lilitoa kauli hiyo kuashiria wapenzi wa jinsia moja wanaochukua watoto na kuamua kuwalea kwa kujisikia tu eti kwa sababu wapenzi hao hawawezi kuzaa. Kwamba wanapekea watoto wanaolelea na walezi wa aina hiyo nao kuangukia katika hali hiyo ya kimaisha.

Ugiriki ni nchi ambayo inaongozwa kwa sheria za kisekulari, maana yake ni kwamba serikali yake inafanya kazi kando na dini. Ingawa Ugiriki ina historia ndefu ya utamaduni wa Kikristo, serikali yake inazingatia uhuru wa dini na ina misingi ya kidemokrasia.

Ukristo wa Ki-Orthodox una nguvu kubwa nchini Ugiriki. Kanisa la Ki-Orthodox la Ugiriki ni sehemu muhimu ya utamaduni, historia, na jamii ya Ugiriki. Ingawa nchi hiyo inazingatia uhuru wa dini, Kanisa la Ki-Orthodox linabaki kuwa moja ya taasisi muhimu zaidi na inaathiri sana maisha ya watu na siasa za nchi hiyo.
 
Back
Top Bottom