Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,157
- Thread starter
-
- #141
Wewe umejuaje kuna comments hajaachia?I smell something
Msipate shida list hii hapa.... Wengine sikiwajua kabisa. Kumbe walishea dyudyu na millen
mzurimie
Yani huyu Mange ni donda baya sana. She was supposed to be neutral, na angekuwa akielezea mawazo yake bila kuonyesha chembe ya chuki na maneno makali. Kaah she is way too much. Yani yeye anachoweza kusifia ni kimoja tuuu, Wema Sepetu. Yani hata Wema afanye ubaya gani.
Alivokuwa anasakizia kuwa Wema anatoka na Ivan alifurahi sana akampamba na kumsifu. Alipokuja kujua sio kweli bali ni Chagga barbie akamponda sana Ivan na Chagga eti pesa za Ivan ni za madawa. Hakuliona hilo alipokua anaropoka kwa Wema. Mange anabase conclusion zake bila research ya kutosha na that's a bad thing.
She should stop being personal, simkatazi kupost chochote ila apunguze mihemko na hisia. Blog inakosa credibility kwa mtindo huo.
Umbea naupenda ila wa Mange una pilipili.
Hehehehehe ile style ya presentation naona itachochea moto
Huyo Huyo he he mange alimzukia kupigana nae. Hahaha japo unamtetea my wema ila mange una mapito. Wewe ndio umejua kuishi duniani kama binadamu bila unafiki ( yani kuonesha sisi ni wanadam na si malaika....umeishi ukionesha ule ubinadam haswaaaaaa sio wengine sie hata tukiuziwa unalia nayo kinafiki kuogopa watanionaje).
Utu ni bora kuliko kitu. Wanaadamu tukumbuke kila lenye mwanzo halikosi mwisho, ipo siku watu wanaomsapoti watamcheka. Sie yetu macho japo tunaonekana haters!
Ila nimemfatilia huyo Dada mange mda mrefuu mno, na anapokuja na kitu faham kabisa Ana data sasa ukijifanya mkujia juu anafumua kila kitu, naamin mpk kutamka hayo yote kuhusu hio familia aitakua anakila chembe ya evidence,
halafu sidhani Kama kuna haja ya kumtukana kwanza yeye ni blogger, na anachopost sio lazima ukiamini na kukichukia ila unaweza kukaa na kukifikiriaa. ngoja tusubiriii atakuja naannii Kama Dada mtu kaongea ila amejitahid kuongeaa kwa busara.
Hivi uwe hater wa mange kwa kipi labda? Mwenyewe ata kujibu tunamchukia kwakua kaolewa na mzungu, sijui kwakuwa anaishi wapi sijui kusikokuwa na weusi! NONSENSE Ajue tu tulio wengi Hatupendi anayoyafanya in name of freedom of speech! Kama ni Nakaaya na Nancy ni celebrities ndo uyaseme hadi ya ndani mwao! Napenda umbea ila sijui ni kwanini kila nikisoma umbea wa Mange lazima niumie, Inahitaji roho mbayaaaaaaa na ngumu kusherehekea umbea wa huyu dada!
Yeye kuwa na evidence or whatever hakumpi right ya kuyasema mambo ya watu hasa family matters, kama its oky aanze na ya kwake mpaka alipokuwa anatoa tigo kwani naye si celebrity? Huku ndo Kuwa blogger ! !? Btw mmefurahia nini wenzenu kuaibishwa vile iwe kweli au sio kweli?
Uchaunafiki, halafuu usinitolee povu, kama unataka kukata roho, nenda kambane huko kwenye blog yake khaaa!
Sisi watazamaji tuu, kama inajifanya cybercrime act 2015 imeguswa panapo stahiki kasaidiane na familia kumshtaki.
Hivi uwe hater wa mange kwa kipi labda? Mwenyewe ata kujibu tunamchukia kwakua kaolewa na mzungu, sijui kwakuwa anaishi wapi sijui kusikokuwa na weusi! NONSENSE Ajue tu tulio wengi Hatupendi anayoyafanya in name of freedom of speech! Kama ni Nakaaya na Nancy ni celebrities ndo uyaseme hadi ya ndani mwao! Napenda umbea ila sijui ni kwanini kila nikisoma umbea wa Mange lazima niumie, Inahitaji roho mbayaaaaaaa na ngumu kusherehekea umbea wa huyu dada!
kabisa ulivyosema mi mwenyewe mbea ila mwingine ni udhalilishaji sana mie ndo maana niliacha ht kusoma blog yake
ukiona nasoma bas mara chache x
chache sana wakati mwanzo chai nanywea kwake
yetu macho sie
Hahahaaa mnafiki nani kati yangu na nyie, sawa acha niwe mnafiki, nimekuuliza tu mnafurahia nini wenzenu kuaibishwa vile?
Mimi nakuelewa saana.
Mi siwezi kufurahishwa na unyanyasaji ule, siiti umbeya
Umbeya huwa haupo vile asirani.
yaani mi mbew ule mmmmhhhMimi napenda umbeya, ila wa u turn unasononesha nafsi yangu sanaaa
Wewe ni kama mimi.Napenda umbeya ila nikisoma wa Mange hadi najisikia vibaya sana.Ule sio umbeya ni unyanyasaji.
Wewe ni kama mimi.Napenda umbeya ila nikisoma wa Mange hadi najisikia vibaya sana.Ule sio umbeya ni unyanyasaji.
Aaaah weye nae unasema nini?,hayakuhusu yote yaliotokea so wewe funga kundu lako bhana,maana unaharisha saaaaaana kupitia mdomo wako kefule weewee,tena inaonekana huna staha hata kufua pichu yako.mzurimie
Yani huyu Mange ni donda baya sana. She was supposed to be neutral, na angekuwa akielezea mawazo yake bila kuonyesha chembe ya chuki na maneno makali. Kaah she is way too much. Yani yeye anachoweza kusifia ni kimoja tuuu, Wema Sepetu. Yani hata Wema afanye ubaya gani.
Alivokuwa anasakizia kuwa Wema anatoka na Ivan alifurahi sana akampamba na kumsifu. Alipokuja kujua sio kweli bali ni Chagga barbie akamponda sana Ivan na Chagga eti pesa za Ivan ni za madawa. Hakuliona hilo alipokua anaropoka kwa Wema. Mange anabase conclusion zake bila research ya kutosha na that's a bad thing.
She should stop being personal, simkatazi kupost chochote ila apunguze mihemko na hisia. Blog inakosa credibility kwa mtindo huo.
Umbea naupenda ila wa Mange una pilipili.