Ugomvi wa Nancy Sumari Vs Nakaaya: Majibu kwa Mange

Ugomvi wa Nancy Sumari Vs Nakaaya: Majibu kwa Mange

Ha ha ha wapo humu humu.....hatari jamani.Hao wanaochamba u turn wanasahau kuwa Mange mwenyewe mambo mengine anatafuta utetezi tokea JF.
 
Hivi kwanini Mange hawezi kumuanika Mwamvita Kama anavyofanya kwa hao wasichana wengine

CC..Mrembo by Nature!

Pale ndio panashikilia blog ya uturn. Umbea utaupata wapi mwamvita akivurugwa?
 
Kuna mtu anajiita nifah kimavi kule kwa sintah.
 
Last edited by a moderator:
Msipate shida list hii hapa.... Wengine sikiwajua kabisa. Kumbe walishea dyudyu na millen
 

Attachments

  • 1433323289515.jpg
    1433323289515.jpg
    49.4 KB · Views: 344
Hahahahaaaaa jamani haya mambo sasa yanachekesha badala ya kukera.Acha wafurahie ubunifu wa id's zetu maana hawana jipya zaidi ya kufuata nyayo zetu.

I see say dey jelous you my mdogo!
Why wakugande wewe tu ilhali wanaoponda ni wengi tu tena wanaongezeka daily!! Lol
 
Hahahahaaaaa jamani haya mambo sasa yanachekesha badala ya kukera.Acha wafurahie ubunifu wa id's zetu maana hawana jipya zaidi ya kufuata nyayo zetu.

Halafu nimegundua huyo mtu ni binti na yupo humu humu....na aisee anatoa matusi kule daa hadi nilipo pita nikayaona nilimuonea huruma sana na sikujua kama kuna watu wanachukulia serious sana mambo ya kwenye mitandao!
Yani nilishangaa sana jamaa anavyo watukana wewe na lukelo sakafu!


Kumbe watu wanachukulia serious sana kiasi hiki...
 
Halafu nimegundua huyo mtu ni binti na yupo humu humu....na aisee atoa matusi kule daa hadi nilipo pita nikayaona nilimuonea huruma sana na sikujua kama kuna watu wanachukulia serious sana mambo ya kwenye mitandao!
Yani nilishangaa sana jamaa anavyo watukana wewe na lukelo sakafu!


Kumbe watu wanachukulia serious sana kiasi hiki...

Makamanda wako juu acha waendelee kuwakeshea.

Alafu kama amewatukana nifah na lukelo sakafu huyo lazima atakuwa mwaflani tu! Teh subiri muone watu huwa hawakawii kujichanganya kwenye comments labda wasitishe hilo zoezi lao!
 
Last edited by a moderator:
I
The man he is never sincere na anacheza na siasa ambayo inagusa maisha ya kila mtanzania .JK kama angalikuwa real anagali waambiwa watu wake Bungeni waunde kamati ya Zitto kama alivyotaka . Lakini yeye kwa mawazo alidhani anaujenga Upinzani kama haki ile ingalitolewa .

Ameshindwa kusema kwamba pressure ya Wapinzani imepelekea wahisani kumpa Ultimutam na akaahidi kusema haya kwenye mkutano Dodoma baada ya kumaliza kikao nao .Hii anwapoza hawa jamaa lakini si maamuzi yake yeye na CCM.

Waliodai haki hii ni Wapinzani mana wananchi hawajasikika kokote kwa kuwa hawana platform ta kusemea leo anashindwa kuwa jasiri na kuwapa credit badala yake anamwachia Makamba anarusha matusi mbele ya wageni wao.

Maamuzi yake yanapingaa sana na maneno yao Bungeni .Je do we still need to trust them ?

Swala la mikataba si la kisiasa yeye kalifanya kuwa la siasa .Kuibiwa uchumi wa Nchi is a serious thing na watu kuweka mikataba mibaya hawa hukumu yao si Kizota ama wapi bali Mahakamani.

Poleni sana

Oohooo....wanakukubali sana.
 
Mange hakuweka evidence za chanzo cha tatizo ili kulinda reputation ya Nancy. Tena amebana comments hasa. Angeamua kuziachia Nancy asingekuwa anatoka ndani. Anajifanya decent kumbe holaaa. Alafu mijitu iko "wema awe kama Nancy" awe kama Nancy my foot..

Haya ndio mjue in and out za Huyo mnaemsifia daily. Pale ni faraja kotta tu ndio asimame anyoishee waovu mikono.

Wewe umejuaje kuna comments hajaachia?I smell something
 
Millen huyu huyu wa Magesse??
Aiseee

Huyo Huyo he he mange alimzukia kupigana nae. Hahaha japo unamtetea my wema ila mange una mapito. Wewe ndio umejua kuishi duniani kama binadamu bila unafiki ( yani kuonesha sisi ni wanadam na si malaika....umeishi ukionesha ule ubinadam haswaaaaaa sio wengine sie hata tukiuziwa unalia nayo kinafiki kuogopa watanionaje).
 
Back
Top Bottom