Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Nakaaya amejibu vizuri Sana katumia hekima kuficha ya nyumbani kwao,lakin mange asingeongea tusingejuaaa aiseee
Mi nilikua nimeskia juu kwa juu. Hafu hapo ukute ni watu close wamesambaza hizo habari zilikua chini kwa chini sasa wengi ndo wamejua.