Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
One thing for sure Mtemvu alikuwa mzalendo kupita wwatu wengi mno
Ana undugu na Sitti Mtemvu?
Grand pop
Ni yapi yalikuwa maisha ya Mtemvu baada ya kuanzisha chama chake, na ilikuwaje akapotea kwenye siasa za Tanganyika, na kipi kilifanyika baada ya kufutwa vyama vingi
Asante
Maashallah,mwandishi umenisaidia kupata
elimu ya ziada ambayo sitoipata pengine,Allah akuweke na akupe siha njema utupe vitu kama hivi
Ule mkutano uliofanyika Tabora ulipo-mention kuwa umefayika Parish ya katoliki unamaanisha kuwa kuna influence yoyote ya sehemu ulipofanyika mkutano na maamuzi yaliyofikiwa au ndo kama kawaida yako na nyimbo zako za udini?
Kwanini Abbas Mtemvu hakufwata nyayo za babake na akajiunga na hao hao TANU (CCM)... Kama sio unafki ni nini??
Kwanini Abbas Mtemvu hakufwata nyayo za babake na akajiunga na hao hao TANU (CCM)... Kama sio unafki ni nini??
Kaka haya mambo kuyasema ni rahisi hivi wewe ulishafanya kitu ukakosea?, ama unajua ni shida zipi baba yake mzee zuberi mtemvu alizipitia?,
najua hata yeye alirudhia mwanae kuingia ccm kwan sidhan aliingia ccm baada ya baba yake kufa mwaka 1998..........
ccm siipendi nacho jaribu kusema hapa si kazi rahisi kuwa mpinzani hasa kwenye hizi nxhi ambazo demokrasia zake bado ni za kuunga unga.
The Boss,
Kuna Sitti Mtemvu Kilungo ambae alikuwa mke wa Mzee Zuberi
Mtemvu na kuna Sitti Mtemvu binti yake Mheshimiwa Abbas
Mtemvu.
Kumbuka enzi za Mh.Abbas Mtemvu chama kilikuwa kimeshika hatamu (CHAMA KIMOJA)
Na ili uendelee kimasomo lazima uwe mwanachama wa CCM. Pia kupata scholarship,Passport n.k.
Baada ya kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi Mh.Abbas Mtemvu aliwahi kujiunga na chama cha upinzani kabla ya kuanza kuona mambo yanamuendea MRAMA ndio aka-ufyata na kurudi CCM.
Mbona kuna kijana wa Nyerere alikuwa upinzani na hata Ubunge aliupata??
Mbona akina Mtei walifukuzwa serikalini kwa mitazamo yao kuonekana ni hasi lakini walirudi mtaani na kuanzisha vyama ambavyo sasa vina nguvu kubwa i.e CDM
Huyo Zuberi ambaye hapa anasafishwa kiaina imekuaje akashindwa?? si alikuwa shupavu?? si alikuwa anapendwa na jamii yake?? Hapo ndio napoona kuna unafki mtupu kwenye hii thread ya kutaka kuwachafua watu wengine na kupandikiza kila ambacho huyu mpuuzi anakipandikiza kila anapokuja na hizi hadithi zake..