Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
- #41
Napenda sana Bw.Mohamed Said unavyoichambua vizuri historia na kufanya msomaji kujisikia kuuvaa uhusika ... Haswa pale ulipotuelezea habari ya msiba wa shangazi yake Ally Sykes. Sipendi watu wanapokukosoa unapoandika ukweli ambao lazima ubebe uhalisia kuwa bila ya jitihada za Wana-Dar es Salaam wengi Waislam... TANU isingeweza kujipenyeza Tanganyika.
Tusker...
Historia hii ni historia yangu.
Nimekua wakati wa historia hii ilipokuwa inajitengeneza.
Hao ninaowataja ni baba na shangazi zangu nikiwajua kwa karibu.
Hakika bila ya wazee hawa uhuru ungechelewa sana.