AaahHakuna ubaya wowote kuwa shabiki wa Wema mbona?
Ha ha ha na zinakutoga ng'aring'ari
Nkikumbuka ile picha 😀😀😀😀
Mimi ni shabiki wa Wema. Namshabikia tangu alipoupata umiss 2006 so kwa sasa nashabikia hiyo title yake niseme even though sasa hivi sio miss tena but title yake ya Miss Tanzania 2006 haifutiki. Ni sawa na kwenye soka kusema namshabikia Roy Kean or Cantona even though walishastaff soka miaka mingi but ile respect cum ushabiki iko pale pale. I hope I've made some sense[emoji4]Aaah
Huyo aliwahi kuadmit kuwa ana mkubali
Ila sasa unamshabikia wema kwa lipi!!? Mi ndio nnacho taka nijue
Yaan wanao mshabikia ana wa inspire kiaje!?.
Ni saidie kama wewe ni shabiki au timu wema pia nijue
Anamtisha Muna asiseme story zake za kugongwa na vibwana vya kipuuzi. Hana lolote. Mama yake ameshamuambia anazeeka afanye kazi.na wema anasema wakiendeleaa atatoa sir ya muna kusafirisha madawa
Anapenda kuabudiwa Kama Mungu. Alogwe kwa lipi?? Sahivi anasema kila mtu na mama yake ikifika time ya kusema kila mtu na mtoto wake asijilizelize.wema ndo ana shida nimegundua hivi kila shost anagombana nae kweli wote wagomvi yy ndo mwema!
yule binti ana kibri sana ndo maana mashoga zake wengi alowazidi kipato anaofanana nao hawataki!!
ana shida wemaa
soda kwa mangi ntalipa mm!Usiwasahau na wasomaji wa makitu kama haya!
Mangi ananidai soda ya mwaka jana!soda kwa mangi ntalipa mm!
Na yote hii ni sababu ya wema kuskiza sauti za watu kisa eti mashabiki! Yaani wema hajui kuwa miluzi mingi humpoteza mbwa! Saa hizi angekuwa katulia tulii na diamond anakula bata maskini maana diamond alikuwa anampenda sana eti wema akamuacha kisa hashtag za mashabiki si ujinga ni nini jamani. Sasa ukute inamuuma kweli kuona mwanamke mwingine ndo anafaidi matunda ya diamond
Tena nataka kiss by wema sepetu kutoka marekani, usijali umezipataHa ha a uniletee kwenye besidei yangu mpendwa
Mumewe kafanyaje mkuu?Arudi tu kwa Lulu kizee yule,laana ya mumewe inamtafuna.
Lulu mwenyewe anabembeleza ndoa kwa Majizo,hana muda na mashoga.
uskonde ntalipa zoteMangi ananidai soda ya mwaka jana!
Tena nataka kiss by wema sepetu kutoka marekani, usijali umezipata
Rose ndio muna?
Kumekucha huyu ndo wema sepetu.....
Yes...jina kamili Rosemary Alphonce NunguRose ndio muna?