Ugomvi wazuka kati ya marafiki wakubwa Munalove na Wema sepetu

Ugomvi wazuka kati ya marafiki wakubwa Munalove na Wema sepetu

Wema ana matatizo sn jitu zima miaka 28 kufanya vitu vya kitoto hata haipendezi
 
Ana sauti nzuuuriii huyoooooo,,dadadada utafikiri imetiwa mayai na kuku mzimaaaa,,,,,,angekuwa anaiuza angepiga pesa huyoooo
 
Hivi ninyi wanawake mkiwa marafiki ni lazima kila mtu ajue mwezie chupi anazovaa au anapo ziweka au lazima mlale pamoja? Urafiki wa namna hii ndio maana wengi wenu mnagombana kila leo...
wadada wengi mpk kuoga tunaoga wote...
 
Idriss ndio kaniacha hoi na ratiba yake eti aafungia chupi na solex anaweka na finger print halafu pia ana mwambia mlinzi achunge hyo droo y chupi haahaa jana nilicheka sana
 
1478175293268.png
 
Tumesha wazoeya sisi tunataka kazi za sanaa sio wajitambe na kulogana sanaa bongoblmeshuka natunaowategenea wanacho jua kwasasa ni kiki za kipuuziiiii wajitambue niwasanii wanaotazamwa na watu.
 
Back
Top Bottom