Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
yaapRose ndio muna?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaapRose ndio muna?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nipo nyonyooo[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108]Nganda uchwara!...mapunda ya kinondoni huyajui?
Anabeba mzigo wa bilioni tatu anapeleka China anakuja kulipwa 5 to 6 million!
Upo ziwa?
it's better to kip quite....Yupo kapost pic yake now...watu wanampongeza kwa kukaa kimyaa!
ht mie ningemshauri asimjibu!Nimeenda insta bhana kwenye account ya muna love.yupo kweli.ila wabongo wanajua kumpa moyooo.
Nungu ni mnyaturu pia huyu naonaYes...jina kamili Rosemary Alphonce Nungu
The best miss Tz of all time ni Mrs MengiMimi ni shabiki wa Wema. Namshabikia tangu alipoupata umiss 2006 so kwa sasa nashabikia hiyo title yake niseme even though sasa hivi sio miss tena but title yake ya Miss Tanzania 2006 haifutiki. Ni sawa na kwenye soka kusema namshabikia Roy Kean or Cantona even though walishastaff soka miaka mingi but ile respect cum ushabiki iko pale pale. I hope I've made some sense[emoji4]
Hata mimi nashangaa au ni super star mpya hapa mjini? Maana humu nimejizoelea kina Tunda na lulu ndo huongelewa humu hebu tupeni Cv yakeMuna ndo nani labda?
wamependeza hadi raha.Nayapenda maisha ya aunty ya sasa, yuko busy na mme na mtoto.....
View attachment 428741
Mimi nasema ni Happiness Millen Magesse.The best miss Tz of all time ni Mrs Mengi
Sanawamependeza hadi raha.
Kwa aina hii ya vijana halafu bado unahoji kwa nini Tanzania ni nchi maskini.......... God must be crazy
Shost usinikumbushe yule mtoto....kinshankupe balaa[emoji23] [emoji23] [emoji108][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nipo nyonyooo[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108]
Lol wema nazidi kumshusha P kila sikuit's better to kip quite....
wema anaropokaa....!
people zinamcheka tu!
Eti eeh?...I'm not familiar with such names ( Nungu)Nungu ni mnyaturu pia huyu naona
Ndio munaRose ndio muna?
Umechewa kumdharau wema,Wema alishadharauliwa zaman hadi na watoto sababu hana akirHiki anachokifanya Wema ni utoto uliopitiliza.
Kulikuwa na haja gani ya kusema yote hayo?
Hakuna kitu sipendi kama nigombane na mtu halafu aanze kuanika mambo yaliyokuwa ya siri baina yetu.
Binafsi huwa sifanyi huo upumbavu,kwahili nimemdharau sana Wema.
Atakayekubali ushoga nae from now,akapimwe akili.
Kwanza Wema kamuabiasha mama ake kusema anaenda bar mpk usiku wa manane na kumsema kuwa mama ake kawa rafiki wa muna,alipaswa wema anyamaze kimya ila ni mpumbavuutehe tehe tehe tehe kwanini huingi, yani ni kuzuri sana, haya turudi kwenye ubuyu, eti rose kawa shostito wa mama wema, hadi mama hana muda na mwanawe (wema), viwanja hadi usiku wa manane.
Hahahha eti sorry madam hahaha,wamechoka vibao ss hv wamerud kw wake zaoSepenga anajiona yeye ni queen of the jungle anapaswa kunyeyekewa na kubembelezwa na mashost,
hao kina petit walikua wanazabwa mavibao hadharani alafu wanaishia kusema "sorry madame"