Jamani, please help,
Ugonjwa huu unashambulia uume wa mwanaume kati ya kichwa cha uume na ngozi inayounganisha makovu ya sehemu iliyotailiwa. Kunakuwa na maumivu na uozo kama mafua. Angalia picha attached,
Hospital wamepima mkoja hauna matatizo yoyoye. Wametoa dawa za kupaka, alerge pamoja na cloxacliine.
Please assist ni ugonjwa gani huu, na unaweza tibiwa kwa dawa zipi
kama hosptal wameshindwa...mmmh unalo?
ushalogwa hivo
ndo mambo ya kukwida k za wake za watu
ulokula vitu vyao wamekutumia salamu
baada ya siku saba nasikia kichwa huwa kinakatika....
kaombewe mkuu fasta
nenda hospital pole sana, pia mwombe mungu atakuponyajamani, please help,
ugonjwa huu unashambulia uume wa mwanaume kati ya kichwa cha uume na ngozi inayounganisha makovu ya sehemu iliyotailiwa. Kunakuwa na maumivu na uozo kama mafua. Angalia picha attached,
hospital wamepima mkoja hauna matatizo yoyoye. Wametoa dawa za kupaka, alerge pamoja na cloxacliine.
Please assist ni ugonjwa gani huu, na unaweza tibiwa kwa dawa zipi
1. kichwa cha uume wako kibaya,
2. check na kale kaugonjwa kakubwa