Chimps
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 559
- 356
Jamani, please help,
Ugonjwa huu unashambulia uume wa mwanaume kati ya kichwa cha uume na ngozi inayounganisha makovu ya sehemu iliyotailiwa. Kunakuwa na maumivu na uozo kama mafua. Angalia picha attached,
Hospital wamepima mkoja hauna matatizo yoyoye. Wametoa dawa za kupaka, alerge pamoja na cloxacliine.
Please assist ni ugonjwa gani huu, na unaweza tibiwa kwa dawa zipi
Ugonjwa huu unashambulia uume wa mwanaume kati ya kichwa cha uume na ngozi inayounganisha makovu ya sehemu iliyotailiwa. Kunakuwa na maumivu na uozo kama mafua. Angalia picha attached,
Hospital wamepima mkoja hauna matatizo yoyoye. Wametoa dawa za kupaka, alerge pamoja na cloxacliine.
Please assist ni ugonjwa gani huu, na unaweza tibiwa kwa dawa zipi